Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ukweli huo.duka kama la mangi= faida ndogo sana .This is one of the most unprofitable business you can ever venture into.
Profit is minimal to almost zero.
uko sawa boss ukiwa bidhaa ya magendo na ukawa na wateja wako wa uhakika unatoboa chapu. Kuna moja caton nanunua mil 1.9. Naweza kukimbiza hata caton 3 kwa mwezi hapo uhakika wa faida 1mil ni chapu halafu kwa bidhaa moja tu. Ila inatakiwa uishi vzuri na wakubwa waliokuzunguka mazingira hayoIla kuna mwenye duka aliyetoboa. Inategemea na wateja, bila kusahau bidhaa za magendo.
Bidhaa gani hiz magendo kwa dukauko sawa boss ukiwa bidhaa ya magendo na ukawa na wateja wako wa uhakika unatoboa chapu. Kuna moja caton nanunua mil 1.9. Naweza kukimbiza hata caton 3 kwa mwezi hapo uhakika wa faida 1mil ni chapu halafu kwa bidhaa moja tu. Ila inatakiwa uishi vzuri na wakubwa waliokuzunguka mazingira hayo
Wewe na mtoa mada wote wajinga ni kweli faida ni ndogo per product lakini umeuza ngapi kwa siku (Mzunguko)? Kuna maduka ya mangi Yana wahudumu Hadi watatu unataka mmiliki hapati faida? Hao wahudumu wanalipwaje?Ndo ukweli huo.
Hili ndio balaa na nusuKuna kuuza vocha
Ili upate faida ya biashara ya vocha basi tengeneza zako........Hili ndio balaa na nusu
Bora vocha za kurusha, lakini hizi za kukwangua HAPANAIli upate faida ya biashara ya vocha basi tengeneza zako........
Ahahaha
Yaaani hamna kitu kabisa na tunapoelekea zinaenda kuisha sio mda maana sikumbuki nilinunua liniBora vocha za kurusha, lakini hizi za kukwangua HAPANA