huyu mtu tunampenda sana..na sisi tunapenda sana kumwita KILAZA au DEKI AMBAYO HAINA CD!! huyu anafaulu kwa kutoa kushoto kupeka kulia kulia kupeleka kushoto kwa lugha rahisi ameteleza kwenye tiles,au kamwaga povu au sabuni kwenye tiles na akateleza au amekanyaga ganda la ndizi...HUYU TUNAMWITA KILAZA....na anatia hasara nchi kwa kuchukua mkopo afu anakopi na kupesti!!!!!