Hii ni nn??

leoniamahela

Member
Joined
Nov 18, 2013
Posts
12
Reaction score
4
Habari zenu!! Mm ni binti nina 24 yrs nina tatizo la kusumbuliwa sana na tumbo wakati wa siku zangu nina mzunguko wa siku 28 na natoka damu siku 5 na siku zote hizo tumbo linaniuma balaa yaan hadi miguuni je dawa yake ni nn??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…