Hii ni noma

IrDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2010
Posts
745
Reaction score
359
Mmeisikia habari hii,mimi nimeisikia leo redioni nikaona niwape wale ambao hawajaisikia.JAMAA KAFYEKA SEHEMU ZAKE ZA SIRI,KISA KUGOMBANIWA NA WANAWAKE WAWILI
 
Du hongera zake,hasira hasara,sasa ataona cha moto kwa kukataa kufikiri zaidi ya pua yake,
 
Atakuwa mkristo huyo! Bible inasema jicho lako likikupotosha ling'oe ulitupe. Ubarikiwe sana baba.
 
Duh! ana roho ngumu huyo sasa waungwana ile sehemu inabakiaje bila vitendea kazi vyake?
 
itabidi ahamie buzz ni bomba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…