Wana JF nisaidieni.Hivi unamchumba kisha akakuambia eti anashiriki kwenye tangazo la mfano sigara ukamshauri akakataa na wewe uko ofisi vyeti sana yenye heshima kweli kweli na yeye pia si haba ni msomi wa chuo kama Mzumbe.Hivi kweli ukimuambia achape lapa kuna makosa kweli.Naomba mawazo yenu jamani.
hapo kwenye RED hiyo ndio sababu?Wana JF nisaidieni.Hivi unamchumba kisha akakuambia eti anashiriki kwenye tangazo la mfano sigara ukamshauri akakataa na wewe uko ofisi vyeti sana yenye heshima kweli kweli na yeye pia si haba ni msomi wa chuo kama Mzumbe.Hivi kweli ukimuambia achape lapa kuna makosa kweli.Naomba mawazo yenu jamani.
Wana JF nisaidieni.Hivi unamchumba kisha akakuambia eti anashiriki kwenye tangazo la mfano sigara ukamshauri akakataa na wewe uko ofisi vyeti sana yenye heshima kweli kweli na yeye pia si haba ni msomi wa chuo kama Mzumbe.Hivi kweli ukimuambia achape lapa kuna makosa kweli.Naomba mawazo yenu jamani.
hommie acha tu kuna thread nyingine kazi kwelikweli, mtu hatoi maaelezo ya kutosha then anaomba ushauri!! kama moja ilikua inauliza "kati ya kubwa na ndogo ipi inafaa" lol!Kwenye red: Ukamshauri nini sasa? Anendelee na tangazo au aache?
Kwenye blue: Ofisi ya vyeti vya uzazi au vya vifo? Kama ni vya vifo kweli mwambie aache kwakuwa sigara inachangia sana mtu kufa mapema.
Au wewe ni mlokole? kama ni mlokole basi asifanye hilo tangazo!
Mkuu details pl's hapo kwenye RED!!mlokole yupi atatumia neno kama kuchapa lapa?
Huyo bwana wivu unamsumbua, au labda hamjui vizuri demu wake. kitabia huyo mwanamke ni mpenda kujulikana na kwa namna hiyo watakuwa wanagombana sana tu kwani hayataishia hapo
XPIN, ALIMAANISHA ..OFISI NYETI!..acha hizo bana!Kwenye red: Ukamshauri nini sasa? Anendelee na tangazo au aache?
Kwenye blue: Ofisi ya vyeti vya uzazi au vya vifo? Kama ni vya vifo kweli mwambie aache kwakuwa sigara inachangia sana mtu kufa mapema.
Ooups! sorry broda. Am slow learner ujue.XPIN, ALIMAANISHA ..OFISI NYETI!..acha hizo bana!
valuu zenu hizo😀Ooups! sorry broda. Am slow learner ujue.
Sikujua kama jamaa anapiga mzigo IKULU. Ngoja nitulie.
rafiki.... mtu ambaye tayari yuko inspired kuwa kwenye ma billboard ni mtu anayependa image yake iwe public zaidi, wa namna hii wengi (nazungumzia from experience ya watu ninaowafahamu) huwa hawaishii hapoMkuu details pl's hapo kwenye RED!!