Hii ni sawa ktk mashule?

Kaitaba

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2009
Posts
915
Reaction score
54
Nimeudhulia maafali ktk shule moja hapa Dar, kilichonisiktisha ni:
-wahitimu wengi walikuwa wamevaa Kata K
-Wahitimu walivaa suti badala ya sare zao
-Maonesho yao wengi walicheza kiduku na michezo ya kunengua na kukata viuno

Ndugu zangu haya ndiyo maadili kutoka kwenye shule zetu?
 

Shule ya vipi? Government, private- christian, islamic, individual etc, then we will comment
 
Shule ya vipi? Government, private- christian, islamic, individual etc, then we will comment
Shule ni ya private, ni ya day na boarding, na siku hiyo walimualika mgeni rasmi kutoka manispaa ya kinondoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…