sasa utazuia mtu kuwasiliana na mzazi mwenzie?? As long as huyo jamaa yuko hai, na inategemea na mazingira yaliyofanya wasiishi pamoja... then wataendelea kuwasiliana... with or without your consent....
Mkeo umemuoa akiwa tayari ana mtoto,na ukakubali kumuhudumia mtoto kwa mahitaji yake yote,lakini inakuja kwamba bado anawasiliana mara kwa mara na mwanaume aliyezaa nae kwa namba nyingine tofauti,na ikitokea umesika anaongea anakwambia naongea na rafiki yangu,ukummbana sana anakwambia nilikuwa naongea na baba wa mtoto kuhusu mambo yahusuyo mtoto,je utafanyaje?Wana JF hebu nipeni maoni yenu
Kwanini uoe mwanamke ambaye tayari ameshazalishwa, and funny enough aliyemzalisha yupo hai?
Kwanini uoe mwanamke ambaye tayari ameshazalishwa, and funny enough aliyemzalisha yupo hai?
Kwani dhambi? mbona hii iko low sana.
Either mwanamke or mwanaume akizaa anastahili kuolewa.
Wenginen wamezaa kwa kudanganywa, wengine wamebakwa. ..
Kwa hiyo mwanamke akizaa tu hastahili kuolewa?
si mkeo uyo
uyo ni mke wa jamaa aliyezaa nae
wanapendana nae sana
wewe amekubali kuoana nae kwa sababu ya maisha lakin mapenz bado yapo kwa uyo aliyezaa nae
mwambie astop la sivyo mtishie ...UNATUMIKA WEWE..KWAKO KIMAISHA LAKIN hakupend
km asingekuwa anakucht na uyo jamaa bas wakat anapiga asingekuw anajificha na angekwambia .like ehh nannii anapiga asjui anataka nini lakin ukiona anaenda ongelea nje bas ujue unazungukwa braza
ikiwezekana waambie ndg zake juu ya jambo ilo...SI AJABU ONE DAYA AKAKWAMBIA M SOR M GOIN BAK TO MY X...mmezaa kwan?
FUNGUA MACHO..UNALIWA..HAWAJAACHANA AO..wewe wanakufanya kibuz tu cha kuwalelea mtoto wao.
sor lakin