Hii ni sehemu ya uchanga wa demokrasia Afrika, ni Muhimu Sana Marekani na nchi tajiri kuendelea kuzipa kibano

Hii ni sehemu ya uchanga wa demokrasia Afrika, ni Muhimu Sana Marekani na nchi tajiri kuendelea kuzipa kibano

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

MY TAKE; Kwa wale waliokua wakishabikia nchi za Afrika kukandamiza haki za binadamu kwa kigezo cha kuachwa kuwa huru bila kuingiliwa na nchi zingine hata pale inapoonekana wazi kukandamiza haki za raia wao, tafadhali ninapmba maoni yenu juu ya hili.

Hawa wanaotaka kufanya maandamano, wanafanya kosa gani ktk kutimiza haki Yao ya kikatiba ya kufanya maandamano ya amani?, Mbona maandamano ya Yanga juzi yalisimamisha Jiji Zima lakini hayakuzuiwa?, mbona maandamano ya kuipongeza serikali hayazuiliwi?. Sasa hapa USA ikiamua kuweka vikwazo vya uchumi bado mtasema Afrika tunaonewa?.
ichoboy01



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 

MY TAKE; Kwa wale waliokua wakishabikia nchi za Afrika kukandamiza haki za binadamu kwa kigezo cha kuachwa kuwa huru bila kuingiliwa na nchi zingine hata pale inapoonekana wazi kukandamiza haki za raia wao, tafadhali ninapmba maoni yenu juu ya hili.

Hawa wanaotaka kufanya maandamano, wanafanya kosa gani ktk kutimiza haki Yao ya kikatiba ya kufanya maandamano ya amani?, Mbona maandamano ya Yanga juzi yalisimamisha Jiji Zima lakini hayakuzuiwa?, mbona maandamano ya kuipongeza serikali hayazuiliwi?. Sasa hapa USA ikiamua kuweka vikwazo vya uchumi bado mtasema Afrika tunaonewa?.
ichoboy01



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Wameomba kibali cha kufanya maandamano kila kitu kina sheria na taratibu kwenye nchi hii hata mtoto akitaka kuoa hua kuna taratibu na sheria zinafatwa ili jambo liwe halali na zuri

Haya maandamano sio halali na hayana maana yoyote na hayana faida kwa nchi vile vile, Na laiti mkataba huo ungekua umesainiwa na wazungu tusingeskia maandamano wala kelele sasa hapo ndio utajua adui wa amani na haki ni mzungu
 
Wameomba kibali cha kufanya maandamano kila kitu kina sheria na taratibu kwenye nchi hii hata mtoto akitaka kuoa hua kuna taratibu na sheria zinafatwa ili jambo liwe halali na zuri

Haya maandamano sio halali na hayana maana yoyote na hayana faida kwa nchi vile vile, Na laiti mkataba huo ungekua umesainiwa na wazungu tusingeskia maandamano wala kelele sasa hapo ndio utajua adui wa amani na haki ni mzungu
Kuandamana ni haki ya kikatiba bila kujali Kama yanafaida au hakuna faida yoyote. Hivi ni nani wa kuamua kwamba yanafaida au hayana faida?, Serikali ambayo ndiyo inayoshutumiwa, iweje ndiyo yenye kuamua kwamba yanafaida kwa jamii au hayana faida?.

Katiba inasema ni haki kwa raia yeyote kufanya maandamano kuonyesha kutoridhishwa kwake na jambo lolote nchini, anachopaswa ni kuitaarifu polisi ndani ya masaa 72 Ili polisi waweze kuwapa ulinzi, sio kazi ya polisi kuamua kwamba yanafaida au hayana faida.

Hivi katika jambo kubwa Kama hili lililovuta hisia za watanzania wengi, unapataje ujasiri wa kusema kwamba halina faida kwa watanzania?, wewe ni nani kuwachagulia watanzania vitu vyenye faida?.

Mimi ni miongoni mwa watu wenye kuunga mkono huu mkataba wa DPW, lakini siungi mkono kuwakandamiza watu wengine kufanya maandamano kuonyesha hisia zao, hiyo ni haki yao lazima waruhusiwe, na hiyo haina maana kwamba serikali lazima itekeleze matakwa Yao, lakini serikali lazima iwasikilize.

Hivi wewe tangu upate akili, ni lini vyama vya upinzani na wanaharakati walikubaliwa na polisi kufanya maandamano kupinga serikali katika jambo lolote lile?, vipi unahusisha uamuzi huu wa kupinga huu mkataba na nchi za Uarabuni vs USA/Europe?. Mkuu inaonekana uko na chembechembe za udini/Uarabu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Sababu zinazotolewa na serikali kupinga maandamano
1)Maandamano yanasitisha muda wa biashara
2)Yanachelewesha muda wa kupata huduma za Afya
3)Yanaathiri uchumi


Lakini haya maandamano ya Yanga hayakuathiri chochote, tena yalipata usaidizi wa pikipiki za polisi


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom