Hii ni Siri Yako!!

Hii ni Siri Yako!!

Katikomile

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2007
Posts
471
Reaction score
74
Source: Global Publishers
 

Attachments

  • 1266906219_zitto.jpg
    1266906219_zitto.jpg
    30.3 KB · Views: 626
Umejuaje....ulikua mawazoni mwangu...Zito kimya kingi kinamshindo mkuu, kuelekea kufa ama kufufuka kote kuna mshindo.
 
...There are many ways of committing political suicide.........
 
Kala rushwa sana za Barrick na akina Rostam (Dowans)!

Kibaya zaidi CHADEMA wana-vithibitisho vyote (payment vouchers). Wahindi/Wazungu kiboko!!! yaani kama Rostam alivyofanya kwa Mtikila, unakula rushwa, unasaini payment voucher.

Zitto alipooneshwa uthibitisho ilibidi yeye mwenyewe ajitoe kugombea uenyekiti, ilikuwa ni aibu hadi wafuasi wake wakuu walikuwa discouraged!

Zitto umetusaliti mshikaji, nasikia ghorofa lako Kimara linaenda kwa kasi ya ajabu!
 
ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. nyumbani ni nyumbani i gues, ccm here i come
 
kidumu chama bwana................
 
mwache aende hana adabu kwa wakubwa zake kwanza
 
Kala rushwa sana za Barrick na akina Rostam (Dowans)!

Kibaya zaidi CHADEMA wana-vithibitisho vyote (payment vouchers). Wahindi/Wazungu kiboko!!! yaani kama Rostam alivyofanya kwa Mtikila, unakula rushwa, unasaini payment voucher.

Zitto alipooneshwa uthibitisho ilibidi yeye mwenyewe ajitoe kugombea uenyekiti, ilikuwa ni aibu hadi wafuasi wake wakuu walikuwa discouraged!

Zitto umetusaliti mshikaji, nasikia ghorofa lako Kimara linaenda kwa kasi ya ajabu!


kama alipiga ufisadi kiasi hicho basi ana haki aende kwenye chama kinachomfaa na chenye kuaccomodate watu wa aina yake, mengi yatajajulikana
 
Back
Top Bottom