Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna mtu alisema hapo ni Dubai?
Mtaro mchafu kabisaDubai hawawezi kuwa na majani yameoteana vibaya hivyo.
Ni kweli kabisa kwakuwa Dubai hakuna mitaro ya wazi na michafu
Exposure kitu muhimu sanaMtaro mchafu kabisa
Ova
ni kweli na ni pazuri ni kwetu ila hapana matunzo, mtaro mchafu ...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na kweli maana Hayo majani mpaka kwenye mtaro
Sana sana najivunia sana kutoka njeExposure kitu muhimu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuh!! Pale mleta uzi alichokidhamiria kionekane kinakuwa kinyume chake hapo ndio mwanzo wa kuanza kuuchungulia uzi wake kwa mbaaali. Lol.
#Hanautetezi.