Hii ni Tanzania siyo Dubai

Bongo hiyo ila ume edit mirangirangi
Weka picha halisi

Ova
 
Kwa mitaro michafu hivyo inakuaje Dubai!
 
Duuh!! Pale mleta uzi alichokidhamiria kionekane kinakuwa kinyume chake hapo ndio mwanzo wa kuanza kuuchungulia uzi wake kwa mbaaali. Lol.

#Hanautetezi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio kwa huo mtaro mchafu na hako kajengo kimoja. Naona kama unajaribu kulinganisha paka na chui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…