Mati Mkenda
Senior Member
- Mar 4, 2018
- 171
- 211
- Thread starter
-
- #21
Hao wenye jimbo lao wameelewa ndio maana wakashangilia. Nadhani una tatizo some where.
Mkuu una uhakika sisi wapenzi na washabiki wa upinzani hatuna hoja?
We dogo unaweza shindana nasi kwa hoja,ukatushawishi ???
Tofauti Ni kuwa sisi hatulipwi, hatuko njaa oriented tuko rational na hatuko biased