Peter Nindi
Member
- Apr 24, 2013
- 8
- 0
Y amegombana na X. Katika ugomvi wao Y amemtishia X kumuua, katika kuhofia usalama wake X akaamua kwenda kituo cha polisi kutoa taarifa kuwa Y ametishia kumuua. Y akaitwa kituo cha polisi na kuhojiwa na kupewa onyo na angalizo kwamba ikitokea X akafariki katika mazingira ya kutatanisha basi Y atawajibishwa.
Sasa siku moja Y akiwa barabarani anaendesha gari na X akiwa anatembea kwa miguu ikatokea ajali Y akawa amemgonga na gari na X akawa amefariki dunia. Y akakamatwa na kufikishwa kwenye kituo cha polisi.
Sasa tatizo langu ni kwamba Y atafunguliwa kesi gani TRAFFICK CASE au MURDER CASE?
Sasa siku moja Y akiwa barabarani anaendesha gari na X akiwa anatembea kwa miguu ikatokea ajali Y akawa amemgonga na gari na X akawa amefariki dunia. Y akakamatwa na kufikishwa kwenye kituo cha polisi.
Sasa tatizo langu ni kwamba Y atafunguliwa kesi gani TRAFFICK CASE au MURDER CASE?