Hii ni zaidi ya scandal, aibu kubwa kwako Waziri Mwakyembe na Naibu Spika

Hii ni zaidi ya scandal, aibu kubwa kwako Waziri Mwakyembe na Naibu Spika

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Waziri anayetambaiaga PhD yake jana kakalishwa uwanjani na watoto waliopata ma zero primary schools mbaya zaidi alikuwa na Naibu Spika huku wakijifanya ni watu wema ili wapate huruma ya vijana walioruhusiwa kuingia bure, yes kiingilio kilikuwa ni miguu yako tu, lakini at what cost?

Mbeya kuna mvua zinaendelea kesho kuna mechi ya Yanga vs Tanzania Prisons, jana uwanja umekanyagwa na maelfu ya watu umekuwa topetope, kondomu ma chupa yapo kwenye picha na Waziri wa Michezo jana kakaa jukwaani anakenunua tu meno halafu kesho kiunafiki utasikia analalamika jinsi TFF wanavyopangua ratiba utasikia ohoooo nimeongea na FIFA watuletee wataalamu wa kupanga ratiba, hovyo kabisa.

Angalia jinsi uwanja ulivyo for Gods sake jamani, dah, hiyo mechi waipeleke Samora Iringa.

2.PNG
3.PNG
4.PNG
5.PNG
 
Mbona ktk hizo picha kondomu hakuna? Jaribu kutuliza akili na kutokuwa na mihemuko wakati wa kuandika ujumbe wako. Vinginevyo utaonekana una chuki tu binafsi ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili la kutumia viwanja vya michezo kwenye kila shughuli ndiyo chanzo cha yote haya.

Wamiliki wa viwanja hutanguliza maslahi bila kujali ratiba ya uwanja husika.
 
Mbona ktk hizo picha kondomu hakuna? Jaribu kutuliza akili na kutokuwa na mihemuko wakati wa kuandika ujumbe wako. Vinginevyo utaonekana una chuki tu binafsi ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo ukiona hiyo condom ndiyo nitakuwa sina chuki?hoja ya msingi hujaipata?huyo mwakyembe alishawahi kusema kaongea na wazungu waje kusaidia kupanga ratiba za ligi jana yeye kawa sehemu ya tukio litakalosababisha mechi kesho isichezwe na ratiba inazidi kuharibika,april kuna CHAN bado kuna ujinga wa kombe la mapinduzi in 9 days,si matope hayo maan siyo akili,HALAFU ANGALIA VIZURI PIC YA TATU kuna condom na tu kinyesi kuna mtu aliliwa 0713 hapo
 
nishawaambia nna degree nne kwani mtoa mada unazo ngapi kabla sijakujibu
 
league ya Tanganyika inatakiwa iishe mwezi wa may unfortunately au fortunately at the same time Tz inashiriki michezo ya CHAN ambayo ipo april TFF wanakimbizana na ratiba hii mechi officially ishazuiwa TFF wameufungia uwanja,kuanzia tarehe 5 teams zinataaiwa zanzibar mapinduzi cup michezo ya kijinga ya kisiasa,ligi itaisha lini,subiri ifike may mkanganyiko utokee umsikie mzee wa PHD akiilaumu TFF na kuanza kutishia watu kama ilivyo kawaida ya awamu ya tano
phd holder.PNG
 
Acha madharau dogo. Uwanjani paliku na PhD 2.
Degree ndio usiseme. Ulikua ni mkusanyiko wa wasomi. Tujuavyo penye wasomi wengi hapaharibiki neno.
 
Back
Top Bottom