Davies Davies
Senior Member
- May 20, 2013
- 118
- 12
shule hazijafunguliwa kuweni na subira
Nyie ndo wale mlopata sifuri asilimi zaidi ya 50% mnataka mselectiwe muende wapi? Au mnaharaka ya kwenda five na six mkatage tena masifuri! Huo mda mmepewa mjipange vizuri..,sioni kwa nini unalia lia hapa,huo mda tumia soma tuition (kama unajua waenda soma nini five na six) .Mda wa five na six ni mchache saana..so dogo,instead of kulia hapa,nenda tuition maliza sylabus ya five na six..! Wakikuita hata mwaka 2014 uko fiti..!!
we mtoto div 2 pts 11....ndo unaona umefaulu...kwel elimu ya bongo imeshuka nakumbuka kpnd hcho 2005 nimemalza Ilboru form 6...vlaza ndo walikuwa wanapata 1 za 9 au 8 lakn cku hz eti mtu akpata hvo ndo jembe.....watu majina yetu yaliwekewa rangi uliza