Hii Niger ya leo hata mimi ningekuwa kocha ingekula 5-0, kocha wetu ajitathmini

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Sio kwamba namkashifu kocha lakini kiukweli upangaji wa kikosi umeifanya timu yetu icheze kiwango cha chini sana, hawa wachezaji wa kigeni kama Abdi Banda, Samata, Msuva, Tiba John, yule dogo wa kati ni wachezaji wa kawaida sana.

Hii Niger hii hata mimi Leo ningeweka kikosi hiki ningewaua,
Beno
Job
Tshabalala
Bacca
Mwamnyeto
Dismas
Lyanga
Bajana
Kibu
Sopu
Kibabage

Nawakalisha vizuri tu, timu hii ni yetu sote lakini ina changamoto sana, leo tungetoka sare sijui kocha angekuwa katika hali gani
 
Mbona shobo? Ulikua wapi kabla ya mchezo kusema hayaa
 
Timu ni mbovu hata yako ni mbovu. Kiufupi hatuna wachezaji. Wachezaji wetu hawana misingi ya soka. Hawako makini, ball control tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…