Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Wa Tanzania kwa kupenda kujichukulia sheria mikononi mwao ahhh nchi hata wananchi nao Wamechoka na utawala wao utafikiri nchi hii Polisi hakuna? Polisi wanakuja baada ya tukio limeshakwisha mtu ameshauawa ndio hao polisi wanakuja kuokota maiti polisi wanakuja kama ushahidi tu ahhhh Tanania yetu imekwisha kabisa.................Mwenyeezi Mungu iokoe nchi yetu na haya mabalaa.............Amen.
Last edited by a moderator: