Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
huwa nakereka mpaka basi. Wanasema waungwana, uongo ukirudiwa sana huwa ukweli. Mbaya zaidi upotoshaji huu huanzia studio na vituo vya redio na tv. Msanii anasema 'hii nyimbo yangu nimeirekodia mj. Nina nyimbo zingine 3 ziko jikoni...' Shule gani hawa bazazi wamesoma? Hawawezi kutofautisha wingi na umoja?
Mwingine utamsikia 'huu mwimbo'. Ugumu uko wapi kutamka 'huu wimbo' na 'hizi nyimbo?' Kuna upotoshaji mwingi pia ila kwa leo nimeona hili
Mwingine utamsikia 'huu mwimbo'. Ugumu uko wapi kutamka 'huu wimbo' na 'hizi nyimbo?' Kuna upotoshaji mwingi pia ila kwa leo nimeona hili