Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
- Thread starter
-
- #61
Badilika kaka umri umeenda achana na hivyo vinuka mkojo tafuta watu wazima wenzio tena mshukuru huyo kakwambia ukweli ungekutana na kicheche kingekukamua kimya kimya
Badilika kaka umri umeenda achana na hivyo vinuka mkojo tafuta watu wazima wenzio tena mshukuru huyo kakwambia ukweli ungekutana na kicheche kingekukamua kimya kimya
Aisee ndugu nashukuru sana
1. Usimvamie tu inaonekana anakujua vizuri na anajua weekpoints zako vema ndio maana kwenye mechi unatoka umefungwa mabao 3-1, 3-2....na kuendelea,AU UNATOKA UMECHOOOOOKA? uko hoi. Sasa mkuu,hapo umeenda kustarehe au kuumizwa???Mimi ni mwanamme mwenye miaka takriban 40 pia nina mke na watoto. Kweli nimepata ka sub house ni kazuri sana na kananipenda pia. Shida yake ni kwenye kutiana yani kanataka bao 3 na kuendelea. Ukipiga hapo bao mbili kananiambia nimekachafua bure kwani hakajarizika. Hpa jumapili kamesha book game na mimi hivyo inabidi hata home nisitoe heshima sababu ya maendeleo.
Kama kuna mwenye ushauri anipatie jamani.
Oøoh! Hivi umri unaweza kuwa sababu eeh?
Mimi ni mwanamme mwenye miaka takriban 40 pia nina mke na watoto. Kweli nimepata ka sub house ni kazuri sana na kananipenda pia. Shida yake ni kwenye kutiana yani kanataka bao 3 na kuendelea. Ukipiga hapo bao mbili kananiambia nimekachafua bure kwani hakajarizika. Hpa jumapili kamesha book game na mimi hivyo inabidi hata home nisitoe heshima sababu ya maendeleo.
Kama kuna mwenye ushauri anipatie jamani.
we muache, muosha huoshwa
Does it really worth it? Ikitoea mkeo na yeye akawa anafanya haya unayofanya huko nje na marafiki zako utajisiake? Put yourself in her position kwanza. Kama hupati mahitaji yako ongea na mkeo, hiyo ndio njia pekee ya kusahihisha mambo na siyo kutoka nje.
Hiyo ni nyumba ndogo ndio umeshindwa kuitimizia halafu unaomba ushauri, vipi mkeo unamtimizia? je mkeo akifanya kama wewe unavyofanya, will u feel better?Mimi ni mwanamme mwenye miaka takriban 40 pia nina mke na watoto. Kweli nimepata ka sub house ni kazuri sana na kananipenda pia. Shida yake ni kwenye kutiana yani kanataka bao 3 na kuendelea. Ukipiga hapo bao mbili kananiambia nimekachafua bure kwani hakajarizika. Hpa jumapili kamesha book game na mimi hivyo inabidi hata home nisitoe heshima sababu ya maendeleo.
Kama kuna mwenye ushauri anipatie jamani.
king'asti pliz yaani unataka baba wa watu azidi kuharibikiwa? Mpeni mbinu za ku last longer bana ili bibie aridhike maana katika ngono ninachofahamu mimi issue sio wingi wa vingapi issue ni quality hata kama ni kimoja,au nakosea bibie?
tehteh teh teh muambie huyo!hahah!!mkuu nguvu hunaa unataka nyumba ndogo,yawezekana hata kubwaa huiwezii bado umeongezaa mzigo wa kujitakiaa,kilaa mla cha mwezie na chake huliwaaa...juaaa serengeti wanakusaidia nyumba kubwaa na ndogo piaa,wee utabaki ATM
Aisee,kazi ipo,eti zina raha zake,ipo siku utajuuutaUsiingize mashine yako mapema, chezea kwanza hiyo dogo dogo mpaka itaharuki ikianza kulalama basi hapo weka mashine ndani fanya unavyotaka. Nyumba dogo zina raha zake bwana. Ila cha msingi usisahau watoto na mama yao.
Mungu sina hakika kama kizazi hiki ni cha kwako, tusamehe bure kwakuhalalisha hayaAisee,kazi ipo,eti zina raha zake,ipo siku utajuuuta