Ghazwat JF-Expert Member Joined Oct 4, 2015 Posts 23,718 Reaction score 66,267 May 25, 2018 #1 Kwa mtanzamo wa picha hii, ndo yaonyesha tafsiri hasa ya kiungo mkabaji kwenye mchezo wa soka duniani.
Kwa mtanzamo wa picha hii, ndo yaonyesha tafsiri hasa ya kiungo mkabaji kwenye mchezo wa soka duniani.
Smart Guy JF-Expert Member Joined Dec 19, 2016 Posts 6,808 Reaction score 6,934 May 25, 2018 #2 duu!!
Ndalilo JF-Expert Member Joined Jan 30, 2013 Posts 3,343 Reaction score 7,516 May 25, 2018 #3 Na mpira wenyewe hauonekani popote kwenye picha.....bila shaka huo utakuwa mchezo wa SUMO au WWE....
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 May 25, 2018 #4 Picha hiyo inaweza kutumiwa kwenye bahati nasibu ya kubashiri... Utaona wanasema, bashiri mpira utakua eneo gani... A... B.... C... Cc: mahondaw
Picha hiyo inaweza kutumiwa kwenye bahati nasibu ya kubashiri... Utaona wanasema, bashiri mpira utakua eneo gani... A... B.... C... Cc: mahondaw
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 May 25, 2018 #5 Smart911 said: Picha hiyo inaweza kutumiwa kwenye bahati nasibu ya kubashiri... Utaona wanasema, bashiri mpira utakua eneo gani... A... B.... C... Cc: mahondaw Click to expand... duhhhhhhhhh michezo mingine...!!!
Smart911 said: Picha hiyo inaweza kutumiwa kwenye bahati nasibu ya kubashiri... Utaona wanasema, bashiri mpira utakua eneo gani... A... B.... C... Cc: mahondaw Click to expand... duhhhhhhhhh michezo mingine...!!!
Ghazwat JF-Expert Member Joined Oct 4, 2015 Posts 23,718 Reaction score 66,267 May 25, 2018 Thread starter #6 Ndalilo said: Na mpira wenyewe hauonekani popote kwenye picha.....bila shaka huo utakuwa mchezo wa SUMO au WWE.... Click to expand... Nilidhani kwenye soka hakuna Tanganyika Jeki..Lakini sasa nimeona
Ndalilo said: Na mpira wenyewe hauonekani popote kwenye picha.....bila shaka huo utakuwa mchezo wa SUMO au WWE.... Click to expand... Nilidhani kwenye soka hakuna Tanganyika Jeki..Lakini sasa nimeona
Abu Ubaidah Commando JF-Expert Member Joined Sep 8, 2016 Posts 7,591 Reaction score 6,946 May 25, 2018 #7 Ghazwat said: Nilidhani kwenye soka hakuna Tanganyika Jeki..Lakini sasa nimeona Click to expand... Tena tanganyika jeki zile za kale 😀
Ghazwat said: Nilidhani kwenye soka hakuna Tanganyika Jeki..Lakini sasa nimeona Click to expand... Tena tanganyika jeki zile za kale 😀
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 May 25, 2018 #8 Lahaulaaa!!! Huo mkono wa kushoto ukishuka kidogo tu atageuka kuwa kiungo MBAKAJI ana MKABAJI... Ghazwat said: Kwa mtanzamo wa picha hii, ndo yaonyesha tafsiri hasa ya kiungo mkabajiView attachment 786230 Click to expand...
Lahaulaaa!!! Huo mkono wa kushoto ukishuka kidogo tu atageuka kuwa kiungo MBAKAJI ana MKABAJI... Ghazwat said: Kwa mtanzamo wa picha hii, ndo yaonyesha tafsiri hasa ya kiungo mkabajiView attachment 786230 Click to expand...
google helper JF-Expert Member Joined Jun 11, 2013 Posts 9,623 Reaction score 13,759 May 25, 2018 #9 Kama asingevaa hiyo ya mbano mm sijui ikweta ingekuwa na moto kiasi gni maana hiyo kamba sasa ilaa daaah ugomvi wa ngumi.
Kama asingevaa hiyo ya mbano mm sijui ikweta ingekuwa na moto kiasi gni maana hiyo kamba sasa ilaa daaah ugomvi wa ngumi.