Hii piki piki tatizo nini?

Hii piki piki tatizo nini?

Olsea

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
466
Reaction score
273
Habari zenu wakuu,nina Piki piki aina ya Boxer wiki iliyopita ilishindwa kabisa kupiga starter Fundi akaniambia Battery imekufa.Nikaingia Kariakoo nikanunua Battery imeandikwa VBT ikawa imepona lile tatizo inapiga starter kama kawaida.Cha ajabu baada ya kama siku 4 hivi na hii inasumbua kupiga starter hadi kiki,je tatizo ni Battery niliuziwa kimeo au Piki piki itakuwa na shida?maana wasi wasi wangu Battery ya kichina.
 
Cheki wiring yake. itakuwa inapowaka hairudishi umeme kwenye betri na kuichaji. wapelekee mafundi watakuangalizia
 
Habari zenu wakuu,nina Piki piki aina ya Boxer wiki iliyopita ilishindwa kabisa kupiga starter Fundi akaniambia Battery imekufa.Nikaingia Kariakoo nikanunua Battery imeandikwa VBT ikawa imepona lile tatizo inapiga starter kama kawaida.Cha ajabu baada ya kama siku 4 hivi na hii inasumbua kupiga starter hadi kiki,je tatizo ni Battery niliuziwa kimeo au Piki piki itakuwa na shida?maana wasi wasi wangu Battery ya kichina.
Ulifunga na rectifire?
 
Cha kufanya wakati ikiwaka chomoa waya za battery tio battery nje kisha gonganisha waya zilizopo hapo swhwmu ya battery uone kana kuna moto?
 
Cheki wiring yake. itakuwa inapowaka hairudishi umeme kwenye betri na kuichaji. wapelekee mafundi watakuangalizia

Thanks Mkuu..ngoja leo nimpelekee Fundi
 
Cha kufanya wakati ikiwaka chomoa waya za battery tio battery nje kisha gonganisha waya zilizopo hapo swhwmu ya battery uone kana kuna moto?

Hii nitajaribu nione..vip nikijaribu taa yoyote ya volt 12 Mkuu?
 
Mie matatizo kama hayo sitafuti fundi labda nikishindwa kabisa.
 
USIENDE KWA MAFUNDI WA MTAANI MKUU,TAFUTA WATU MAKINI KWA AJILI YA VYOMBO HIVI VYA USAFIRI
 
USIENDE KWA MAFUNDI WA MTAANI MKUU,TAFUTA WATU MAKINI KWA AJILI YA VYOMBO HIVI VYA USAFIRI

Dah Mkuu kama ulijua kwa ushaur wako aisee,tatizo umechelewa na nishaenda kwa Fundi wa Mtaani hapa najuta.Alijidai anatengeneza tatizo mara katika kujaribu akaibua tatizo lingine akidai timing chain imekufa nikanunua nyingine akabadili hapo ndo tatizo likaanza,piki piki imekuwa slow mlimq mkali usipovuta sana mafuta inazima na imeanza kunywa mafuta balaa nkamrudishia ananiambia sijui adjuster nkaachana nae nikaenda kwa mtaalamu kuisikiliza tu inavyolia kanieleza tatzo sio timing chain ni piston zinatakiwa kubadil.Hapa najuta huku nimeweka piki piki ndani nikitafuta hyo hela ya piston na Fundi.
 
Mie matatizo kama hayo sitafuti fundi labda nikishindwa kabisa.

Mkuu sio mbaya ukanipa procedures za kufanya diagnosis ili siku nyingne ikinitokea nipate pa kuanzia.
 
Dah Mkuu kama ulijua kwa ushaur wako aisee,tatizo umechelewa na nishaenda kwa Fundi wa Mtaani hapa najuta.Alijidai anatengeneza tatizo mara katika kujaribu akaibua tatizo lingine akidai timing chain imekufa nikanunua nyingine akabadili hapo ndo tatizo likaanza,piki piki imekuwa slow mlimq mkali usipovuta sana mafuta inazima na imeanza kunywa mafuta balaa nkamrudishia ananiambia sijui adjuster nkaachana nae nikaenda kwa mtaalamu kuisikiliza tu inavyolia kanieleza tatzo sio timing chain ni piston zinatakiwa kubadil.Hapa najuta huku nimeweka piki piki ndani nikitafuta hyo hela ya piston na Fundi.
POLE SANA MKUU ILA HUJACHELEWA KAMA UKO MAENEO YA MIJI MIKUBWA TAFUTA MAWAKALA WAO
 
Jitahidi tu kuijua piki piki maana mie yangu sanlg ya zamaani ikisumbua popote mie najua tatizo ni nini nampelekea fundi kumwambia fungua hapa toa hiki weka hiki baasi mpk leo pk pk gangu mpyaaa
 
Kanunue rectifire mpya na betr ongeza maji makali piga kiki ijichaji baadaye itapiga taster tatizo lako litaisha alafu Rudi ulete mrejesho
 
Kanunue rectifire mpya na betr ongeza maji makali piga kiki ijichaji baadaye itapiga taster tatizo lako litaisha alafu Rudi ulete mrejesho

Mkuu nimegundua kuwa sometimes inakubal kupiga starter kuonesha kuwa inachaji,nimeamua tu nitafute Battery mpya nione.
 
Back
Top Bottom