Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Kwani wife mwenyewe anasemaje?Wakuu Hawa Wote utawatambulisha Vipi Kwa Wamiliki Wa Mgahawa Ili Upate Hyo Free Meal? [emoji849][emoji849]View attachment 1767850
Huu msemo wa kipumbavu muasisi ni nani? Mbona naona mpaka watu wa heshima wanajivua nguo katika hili?Kwani wife mwenyewe anasemaje?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Huu msemo wa kipumbavu muasisi ni nani? Mbona naona mpaka watu wa heshima wanajivua nguo katika hili?
Nimechombeza tu, kutokana na uzi wenyewe.Huu msemo wa kipumbavu muasisi ni nani? Mbona naona mpaka watu wa heshima wanajivua nguo katika hili?
Huu msemo wa kipumbavu muasisi ni nani? Mbona naona mpaka watu wa heshima wanajivua nguo katika hili?
Ha ha ha Dah ! Mkuu kumbe nawe unauchukia km unavyonikera mmHuu msemo wa kipumbavu muasisi ni nani? Mbona naona mpaka watu wa heshima wanajivua nguo katika hili?
Ni mambo ya kitoto sana ambayo watu wazima kuendekeza au kujihusisha nayo ni upuuzi na kujivua nguo!Ha ha ha Dah ! Mkuu kumbe nawe unauchukia km unavyonikera mm
Yaan unaniudhi huu msemo dah !
Yaan kwakweli misemo ya kijingajinga dizaini hii huwa inaniudhi sana
Maama jana tulikuwa tunajadiki jambi group ya WhatsApp basi bana kuna mtu tena mtu mzima tu na familia yake ndo akaingizia huo msemo
Bwana watu walimshukia kumbe ni wengi tusiopenda misemo ya hovyo namna hii
Mimi kuna huu na ule " kimeumana" yaan mpaka nasikia kutapika hata kama ni mdada unaongea hivi sembuse mwanaume[emoji57][emoji57]Huu msemo wa kipumbavu muasisi ni nani? Mbona naona mpaka watu wa heshima wanajivua nguo katika hili?
Aibu kweli kweli yani imekuwa kama slogan! Left & Right “Kwani.....inasemaje?” Ushoga huu!Mimi kuna huu na ule " kimeumana" yaan mpaka nasikia kutapika hata kama ni mdada unaongea hivi sembuse mwanaume[emoji57][emoji57]
Wanaume rijali vitu vingine vinavyoletwa n juma lokole mviache huko instagram mweeh aibuu
Ila mkuu mbona hujaonyesha Imoji ya kukasirika yani ww huwa ni kucheka tena sio kucheka tuu kucheka kujigaragaza hahahahaaahaHuu msemo wa kipumbavu muasisi ni nani? Mbona naona mpaka watu wa heshima wanajivua nguo katika hili?
Asante. kuna mtu wangu wa karibu kanijibu hivo juzi nikamshangaa "hadi wewe".Huu msemo wa kipumbavu muasisi ni nani? Mbona naona mpaka watu wa heshima wanajivua nguo katika hili?
Afadhari kipengele huo kidogo hupenda kutumia madalali hasa madalali wa magariKuna pia hili neno "kipengele" Ila nashukuru Sasa hivi limepotea. Liliwahi kunifanya nikamkatia mtu mawasiliano mazima
Nimeshangaa hadi huyu dingi amevua Shati, suruali,naona anataka kutoa na boxer yake sijui ili iwejeHuu msemo wa kipumbavu muasisi ni nani? Mbona naona mpaka watu wa heshima wanajivua nguo katika hili?
Huo wa kipengele hata mie nautumiaga sometimes sioni shida yake kimantiki! Ni neno ambalo lina maana sawa na ugumu, au obstacles! Sio neno la kishambenga bali ni neno practical kabisa.Afadhari kipengele huo kidogo hupenda kutumia madalali hasa madalali wa magari
Wana msemo wao mmoja
Dah ! Eti narenga narengesha hiyo IST haina kipengele inatakiwa 7 tuishi humohumo
Ha ha ha