Hii saluni imeniacha hooooooi

Sijaoa, so hakuna ndoa iliyoko hatarini. Hata hivyo ni massage tu ndugu yangu, believe you me, ila raha yake usipime!
ukute kabinti kenyewe kana uchu wa kumfanyia mtu massage. utajuta kukoma
 
Arusha ni noma kuna watoto wazuri balaa nilienda semina mwaka jana sipasahau pashindwe na palegee
 

Kiongozi zipo saluni nyingine,uswahilini kwetu!unanyolewa ''ma..zi'', mtarimbo unan'garishwa kisha unapigishwa na nyeto
 
Kiongozi zipo saluni nyingine,uswahilini kwetu!unanyolewa ''ma..zi'', mtarimbo unan'garishwa kisha unapigishwa na nyeto
:becky::becky::becky: hiyo sasa hiyo saluni ni danguro :becky::becky:
 
kumbe ulienda kwa mengi ndo maana unalaani!
hayo mengine niliyakuta huko huko, kule kuna watoto wazuri si mchezo halafu wanabembeleza kwa ile lafudhi yao unaweza kutoa funguo ya gari
 
Hahahah! Funzadume ushatoa funguo nini!!
hayo mengine niliyakuta huko huko, kule kuna watoto wazuri si mchezo halafu wanabembeleza kwa ile lafudhi yao unaweza kutoa funguo ya gari
 
Licha ya pombe, sigara, madawa n.k. - watu tujihadhari na addiction nyingine inayotaka kutunyemelea - kwenda saluni!
 
Licha ya pombe, sigara, madawa n.k. - watu tujihadhari na addiction nyingine inayotaka kutunyemelea - kwenda saluni!
hivi wale wanaotuosha nywele na ndevu saluni hawawezi kuhamisha magonjwa kutoka kwake au kutoka mtu mmoja kwenda mwingine? maana uwa hawavai gloves
 
Umeoa kaka?
 
Hivi jijini dar kuna mahala pengine penye hii huduma?
nataka kwenda kunyoosha misuli.
kama kuna dem humu anatoa hiyo huduma anitumie PM
 
hii dunia ina mambo jamani lol nimechekaaaaaaaaaaaaaaaaaa saana.....afadhali huku kijijini hazipo hizo saluni za kiso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…