Hii season inaitwaje?

Hii season inaitwaje?

Reginald L. Ishala

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2011
Posts
3,810
Reaction score
6,789
Samahani, WanaJF!

Naomba mwenye kujua jina la season moja ya kizungu anikumbushe,

Ilikuwa hivi, Walitekwa wanafunzi ambao ni watoto wa mawaziri, rais, makamu wa rais na viongozi wengine ndani ya serikali.

Gari za escort za kuwapeleka watoto na kuwarudisha nyumbani toka shuleni zilitekwa baada ya maafisa usalama kugeukana msafarani.

Anayeijua tamthilia hii naomba anitajie jina lake.

Natanguliza shukrani.
 
Nimeisahau jina ntajaribu kuikumbuka, kulikua na mtoto wa rais kama sikosei. Watoto walitekwa na mpangaji wa hilo tukio mwanae alikua miongoni mwa hao wanafunzi, au sio hiyo unaiongelea?
 
Samahani, WanaJF!

Naomba mwenye kujua jina la season moja ya kizungu anikumbushe,

Ilikuwa hivi, Walitekwa wanafunzi ambao ni watoto wa mawaziri, rais, makamu wa rais na viongozi wengine ndani ya serikali.

Gari za escort za kuwapeleka watoto na kuwarudisha nyumbani toka shuleni zilitekwa baada ya maafisa usalama kugeukana msafarani.

Anayeijua tamthilia hii naomba anitajie jina lake.

Natanguliza shukrani.

Bila shaka unaongelea hii series, inaitwa Crisis

1628411327571.png
 
Back
Top Bottom