Elections 2010 Hii Si kweli...

Elections 2010 Hii Si kweli...

TandaleOne

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2010
Posts
1,644
Reaction score
709
Hivi huyu aliyekubali muandike kwamba toka JK aingie madarakani watu milion mbili zaidi wamekuwa masikini bila kuonyesha percentage ni nani??Alitoa oda makusudi au sababu hii itawagharimu.

Angalia,mwaka 2005 Tanzania ilikuwa na watu chini ya million 34 na masikini wa kutupwa wapatao million 11.Sawa na asilimia 32%.Leo mwaka 2010 Tanzania inakadiriwa kuwa na watu milion 42,Chadema inasema masikini wa kutupwa wamefikia milion 13 ongezeko la milion 2 na hii ni mbaya.Lakini angalia,13milion katika 42 million ni sawa na asilimia 30!!Mbona hiyo part ya analysis mmeiondoa???Makusudi,kwa sababu inaonyesha umasikini wa kutupwa unapungua Tanzania wakati ambapo nchi nyingi za Afrika kusini mwa Sahara hali si nzuri.Kuweni wazi,penye ukweli sema tu.
 
Hivi huyu aliyekubali muandike kwamba toka JK aingie madarakani watu milion mbili zaidi wamekuwa masikini bila kuonyesha percentage ni nani??Alitoa oda makusudi au sababu hii itawagharimu.

Angalia,mwaka 2005 Tanzania ilikuwa na watu chini ya million 34 na masikini wa kutupwa wapatao million 11.Sawa na asilimia 32%.Leo mwaka 2010 Tanzania inakadiriwa kuwa na watu milion 42,Chadema inasema masikini wa kutupwa wamefikia milion 13 ongezeko la milion 2 na hii ni mbaya.Lakini angalia,13milion katika 42 million ni sawa na asilimia 30!!Mbona hiyo part ya analysis mmeiondoa???Makusudi,kwa sababu inaonyesha umasikini wa kutupwa unapungua Tanzania wakati ambapo nchi nyingi za Afrika kusini mwa Sahara hali si nzuri.Kuweni wazi,penye ukweli sema tu.


Angalia tena takwimu zako vizuri mkuu. Kwa takwimu za Tanzania Beaureu of Statistics zinaonyesha kuwa kwa sensa ya mwaka 1985 Tanzania ilikuwa na watu milioni 30, na kwa sensa ya mwaka 2002 Tanzania ilikuwa na watu milioni 40. Hizi za kwako kuwa mwaka 2005 kulikuwa na watu milioni 34 umezitoa wapi?
 
TandaleOne,
Wewe ni either ungali mtoto (halafu) akili zako nzito kupambanua yaliyo mbele yako; AMA umekuwa unaishi ughaibuni zaidi ya miaka kumi na tano sasa.
Huitaji kuwa na shahada ya Takwimu kujua kwamba sasa ni vigumu kupata elfu kumi - na ukiipata matumizi yake ni mafinyu mno kulinganisha miaka mitano iliyopita.
AMA labdfa tena ww ni kati ya wale ambao maisha yao yamelalia kwenye slogan hii: STEALING AND EMBEZZLING IN THE NAME OF POLITICS; REAP FROM where you didn't sow... etc
 
TandaleOne,
Wewe ni either ungali mtoto (halafu) akili zako nzito kupambanua yaliyo mbele yako; AMA umekuwa unaishi ughaibuni zaidi ya miaka kumi na tano sasa.
Huitaji kuwa na shahada ya Takwimu kujua kwamba sasa ni vigumu kupata elfu kumi - na ukiipata matumizi yake ni mafinyu mno kulinganisha miaka mitano iliyopita.
AMA labdfa tena ww ni kati ya wale ambao maisha yao yamelalia kwenye slogan hii: STEALING AND EMBEZZLING IN THE NAME OF POLITICS; REAP FROM where you didn't sow... etc

Wambadwa, kuna watu neema zao zimefunguliwa hawajui umaskini wa watanzania wa kawaida mwache, ndio hao wabongo wenye misamiati bongo tambarare wakati wengi wa tanzania wakiumwa malaria wananunua panadol kwa instalment ( huyo tajiri) wa kawaida anatwanga majani ya mpapai kutibu malaria.
 
Wambadwa, kuna watu neema zao zimefunguliwa hawajui umaskini wa watanzania wa kawaida mwache, ndio hao wabongo wenye misamiati bongo tambarare wakati wengi wa tanzania wakiumwa malaria wananunua panadol kwa instalment ( huyo tajiri) wa kawaida anatwanga majani ya mpapai kutibu malaria.

Ughaibuni.Ukweli ni kwamba asilimia ya watu waishio katika umasikini imepungu ana hawa jamaa wamekwepa kulisema hilo.
 
Back
Top Bottom