Lakini MziziMkavu umesema shida ni haja kutokua laini!! Sasa nini kifanyike ili haja iwe laini??
Na je tukirudi kwa huyu jamaa...amesema hii shida imemtokea now days?? Kwanini imtokee kipindi iki (ukubwani) kwanini hamkutokea akiwa mdogo?? Maana wenda pia alipokua mdogo alipata hii shida ya haja kutokua laini!!! Embu naomba mwongozo katika hili mkuu!!!