Hii siku ya wiki ya Mwananchi kuna kitu nimekiona

Hii siku ya wiki ya Mwananchi kuna kitu nimekiona

Joined
Feb 13, 2024
Posts
80
Reaction score
204
Kitu kikubwa nilichokiona kwa Wananchi, kwanza wameweza kuujaza uwanja, lakini sio tu kuujaza uwanja bali mashabiki wengi wametinga uzi mpya.

Tofauti sana na wazee wa ubaya ubwela uwanja waliujaza ila wengi walitinga uzi wa zamani.

Sasa sijui ni uchumi au lile neno sanda limechangia?

Mwisho kabisa hata wao wanapenda supu ila tajiri ni bairi.

Soma pia: FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium
Soma pia: FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024


wananchi.jpg
Snapinsta.app_453872072_18433533271071034_8986917781319688823_n_1080.jpg
 
yaani hyo supu ya elfu 2 nyie mnapewa bure. Ndo roho ituume?
Gsm anatoa misaada hapo hapo anafanya makafara yake.biashara zake ziende.
Kuna jamaa akitaka kujenga nyumba anatoa sadaka ya chakula kwa watoto yatima.
AKILI KUMKICHWA
 
Kitu kikubwa nilichokiona kwa wananchi, kwanza wameweza kuujaza uwanja, lakini sio tu kuujaza uwanja bali mashabiki wengi wametinga uzi mpya.

Tofauti sana na wazee wa ubaya ubwela uwanja waliujaza ila wengi walitinga uzi wa zamani.

Sasa sijui ni uchumi au lile neno sanda limechangia?

Mwisho kabisa hata wao wanapenda supu ila tajiri ni bairi.
Acheni wivu nyie Ubwela.
 
Kitu kikubwa nilichokiona kwa wananchi, kwanza wameweza kuujaza uwanja, lakini sio tu kuujaza uwanja bali mashabiki wengi wametinga uzi mpya.

Tofauti sana na wazee wa ubaya ubwela uwanja waliujaza ila wengi walitinga uzi wa zamani.

Sasa sijui ni uchumi au lile neno sanda limechangia?

Mwisho kabisa hata wao wanapenda supu ila tajiri ni bairi.

Huyu Bonge hovyo sana. Fridge lake haligandishi. Amenikera sana huyu mbwa kuja yaongea haya kwa watu

 
Kitu kikubwa nilichokiona kwa wananchi, kwanza wameweza kuujaza uwanja, lakini sio tu kuujaza uwanja bali mashabiki wengi wametinga uzi mpya.

Tofauti sana na wazee wa ubaya ubwela uwanja waliujaza ila wengi walitinga uzi wa zamani.

Sasa sijui ni uchumi au lile neno sanda limechangia?

Mwisho kabisa hata wao wanapenda supu ila tajiri ni bairi.

Wameujaza kwa mtindo huu
 
 
Kitu kikubwa nilichokiona kwa wananchi, kwanza wameweza kuujaza uwanja, lakini sio tu kuujaza uwanja bali mashabiki wengi wametinga uzi mpya.

Tofauti sana na wazee wa ubaya ubwela uwanja waliujaza ila wengi walitinga uzi wa zamani.

Sasa sijui ni uchumi au lile neno sanda limechangia?

Mwisho kabisa hata wao wanapenda supu ila tajiri ni bairi.
Kwa hiyo ulikaa kimarienge unatazama huku na kule?Acha ushambenga utanaswa makofi.
 
Kitu kikubwa nilichokiona kwa wananchi, kwanza wameweza kuujaza uwanja, lakini sio tu kuujaza uwanja bali mashabiki wengi wametinga uzi mpya.

Tofauti sana na wazee wa ubaya ubwela uwanja waliujaza ila wengi walitinga uzi wa zamani.

Sasa sijui ni uchumi au lile neno sanda limechangia?

Mwisho kabisa hata wao wanapenda supu ila tajiri ni bairi.
Aisee
 
yaani hyo supu ya elfu 2 nyie mnapewa bure. Ndo roho ituume?
Gsm anatoa misaada hapo hapo anafanya makafara yake.biashara zake ziende.
Kuna jamaa akitaka kujenga nyumba anatoa sadaka ya chakula kwa watoto yatima.
AKILI KUMKICHWA
Kafara yake sisi inatuhusu nn leta supu
 
Back
Top Bottom