Hii sinema feki ya Ali Kiba

Hii sinema feki ya Ali Kiba

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,262
Reaction score
2,184
Tujuzane ile sinema fake imeishia wapi ilitambulishwa tarehe 02 mtu kujitangazia kavamiwa na majambazi 20 (Sasa sijui hii idadi yote walikua wanafanya maandamano au laa coz hata bank haijawahi tokea ikavamiwa na idadi hii). Halafu wakawajeruhi ndugu zake (cha ajabu haikuoneshwa hata picha moja ya majeruhi). Halafu muhusika kajificha hawakumuona (duh idadi ya watu 20 wameshindwa kumuona mtu mmoja kwani hyo nyumba ilikuwa na mahandaki?)

Ifikie hatua watanzania tukatae kufanywa watoto na kama watu mziki umewashinda waache sio kutafuta kick ki namna hii kwa kutunga uongo ambao hata mtoto wa miaka miwili humdanganyi. Kipindi wenzake wanajituma wao fitina na roho ya kwanini fulani afanikiwa walahi down fall r waiting for him na Level za Diamond wataishia kuziota..
 
Ndomo....Kiba....Ndomo....Kiba!.What Nonsense Is That?!
 
Tujuzane ile sinema fake imeishia wapi ilitambulishwa tarehe 02 mtu kujitangazia kavamiwa na majambazi 20( sasa sijui hii idadi yote walikua wanafanya maandamanocau laa cz hata bank haijawahi tokea ikavamiwa na idadi hii) Halafu wakawajeruhi ndugu zake (cha ajabu haikuoneshwa hata picha moja ya majeruhi) Halafu muhusika kajificha hawakumuona (duh idadi ya watu 20 wameshindwa kumuona mtu mmoja kwani hyo nyumba ilikuwa na mahandaki?) ifikie hatua watanzania tukatae kufanywa watoto na kama watu mziki umewashinda waache sio kutafuta kick kinamna hii kwa kutunga uongo ambao hata mtoto waiaka miwili humdanganyi kipindi wenzake wanajituma wao fitina na roho ya kwanini fulani afanikiwa walahi down fall r waiting for him na Level za Diamond wataishia kuziota

Hahahaaa endelea kutapa tapaa kibaaaa ana wakimbizaaaaaaaa
Ata na mimi kwa taarifa yako ni miongoni mwa ndugu tuliopigwa na majambazi
Hutaki unaachaaaa
 
Hahahaaa endelea kutapa tapaa kibaaaa ana wakimbizaaaaaaaa
Ata na mimi kwa taarifa yako ni miongoni mwa ndugu tuliopigwa na majambazi
Hutaki unaachaaaa
Mbona hatujaona majeraha wala mahojiano ya majeruhi zaid ya sauti ya ali kiba akipaka rang kwenye sinema yake
 
Mbona hatujaona majeraha wala mahojiano ya majeruhi zaid ya sauti ya ali kiba akipaka rang kwenye sinema yake

Kwa hiyo ulitaka majeraha yetu yarushwe instagram au jf? Ungekuja eneo la tukio uone kama wengine walivyo ona....
 
Na wewe katafte kiki tukuone mmeishiwa tu hamna jipya uzuri Kiba ana act kiutu uzima hana shida ya kutafta attentions za kijinga jinga bila sababu anajiamini sana haitaji public sympathy ka ya wa kwenu kaona kigumu ana surrender kiujanja janja. Mumuaache Kiba miaka bilion
 
Maskini hadi nimeumia.

Yaani kijana mwenzetu unaandika hayo kwa kijana mwenzako??

Yaani ajisingizie kaibiwa ili ashindane nasanii mwenzake!!!?!

Nilisema mimi humu JF kuna washirikina wengi sana.

Yeye ni nani asiibiwe?

Hapo sasa.Wewe nae ukiachaga ule unafki unakuaga mtu poa basi tu!
Hahahahaa
 
Tujuzane ile sinema fake imeishia wapi ilitambulishwa tarehe 02 mtu kujitangazia kavamiwa na majambazi 20( sasa sijui hii idadi yote walikua wanafanya maandamanocau laa cz hata bank haijawahi tokea ikavamiwa na idadi hii) Halafu wakawajeruhi ndugu zake (cha ajabu haikuoneshwa hata picha moja ya majeruhi) Halafu muhusika kajificha hawakumuona (duh idadi ya watu 20 wameshindwa kumuona mtu mmoja kwani hyo nyumba ilikuwa na mahandaki?) ifikie hatua watanzania tukatae kufanywa watoto na kama watu mziki umewashinda waache sio kutafuta kick kinamna hii kwa kutunga uongo ambao hata mtoto waiaka miwili humdanganyi kipindi wenzake wanajituma wao fitina na roho ya kwanini fulani afanikiwa walahi down fall r waiting for him na Level za Diamond wataishia kuziota

Ally kiba is like a nightmare to you, una suffocate sana...vitu vingine unaviacha tu kama vilivyo utakufa kwa kihoro bure...God created him with that amazing tarent,co kosa lake eti....he is up and too bad there is nothing u can do kumporomosha,kwahiyo we shukuru tu kwa kila jambo hata kama linakuumiza kwa kiasi gani! Tushukuru kwa yote
 
Tujuzane ile sinema fake imeishia wapi ilitambulishwa tarehe 02 mtu kujitangazia kavamiwa na majambazi 20( sasa sijui hii idadi yote walikua wanafanya maandamanocau laa cz hata bank haijawahi tokea ikavamiwa na idadi hii) Halafu wakawajeruhi ndugu zake (cha ajabu haikuoneshwa hata picha moja ya majeruhi) Halafu muhusika kajificha hawakumuona (duh idadi ya watu 20 wameshindwa kumuona mtu mmoja kwani hyo nyumba ilikuwa na mahandaki?) ifikie hatua watanzania tukatae kufanywa watoto na kama watu mziki umewashinda waache sio kutafuta kick kinamna hii kwa kutunga uongo ambao hata mtoto waiaka miwili humdanganyi kipindi wenzake wanajituma wao fitina na roho ya kwanini fulani afanikiwa walahi down fall r waiting for him na Level za Diamond wataishia kuziota

Achana na hizi story za kusadikika ambazo hazina mashiko wala malipo!sisi mashabiki waketunatosha kabisa kumfanya platinumz aendelee kuishi maisha halisi na sio ya hadithi wala ndoto!!

Twende kule kwetu tukampigie kura kijana wetu aendelee kuishi maisha halisi ya kisupa star!!
 
Tena kile kiazi kikuu.Hata hivyo usiumize kichwa huyu anajipoza maumivu jinsi Kiba anavyompa presha domo.

Hivi Ali Kiba na Ndomo wanalingana kweli? Mi sioni ulinganifu japo najua Kiba anasubiri sana kwa Lidomo! Lidomo yuko levo ingine kwa sasa! Kiba yeye alie tu na McMugan!
 
Back
Top Bottom