Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 Jul 26, 2011 #1 Kuwaorodhesha wanawake ulio tembea nao, tena unafanya hivyo kwenye mitandao ya kijamii. Inasikitisha
IGWE JF-Expert Member Joined Feb 3, 2011 Posts 9,578 Reaction score 7,774 Jul 26, 2011 #2 Nani kafanya hivyo,....huu ni zaidi ya ujuha
afrodenzi Platinum Member Joined Nov 1, 2010 Posts 18,150 Reaction score 9,255 Jul 26, 2011 #3 Kuna watu wanapenda kufanya matendo ya ki wendawazimu na wenyewe si wenda wazimu...
A Ave Ave Maria JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 10,707 Reaction score 5,678 Jul 26, 2011 #4 Kuna watu wana mambo ya ajabu kwakweli, ye hapo anajiona ndo kidumeee!! Ni bora hata huyo mtu simjui maanake.......aaarrrrggghhhh!!!
Kuna watu wana mambo ya ajabu kwakweli, ye hapo anajiona ndo kidumeee!! Ni bora hata huyo mtu simjui maanake.......aaarrrrggghhhh!!!
Jaguar JF-Expert Member Joined Mar 6, 2011 Posts 3,437 Reaction score 1,027 Jul 26, 2011 #5 Mi kuna mshkaji huwa ananiudhi kweli,eti oo nimetembea na kila aina ya wanawake,bado zeru zeru tu,yaani ananikera ile mbaya.
Mi kuna mshkaji huwa ananiudhi kweli,eti oo nimetembea na kila aina ya wanawake,bado zeru zeru tu,yaani ananikera ile mbaya.
First Born JF-Expert Member Joined Jul 11, 2011 Posts 5,312 Reaction score 1,475 Jul 26, 2011 #6 afrodenzi said: Kuna watu wanapenda kufanyamatendo ya ki wendawazimu na wenyewesi wenda wazimu... Click to expand... kama mtu anafanya uwendawazimu basi na yeye atakuwa mwenda wazimu.
afrodenzi said: Kuna watu wanapenda kufanyamatendo ya ki wendawazimu na wenyewesi wenda wazimu... Click to expand... kama mtu anafanya uwendawazimu basi na yeye atakuwa mwenda wazimu.
Magulumangu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2010 Posts 3,051 Reaction score 461 Jul 26, 2011 #7 Hommie umetajwa nini?
Perry JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 10,058 Reaction score 2,195 Jul 26, 2011 #8 Ni ushamba na ulimbuken wa kijinga 2.