Mpendwa hao ni wako milele hakikisha unaijaza dunia vile impendezavyo yeyeMtumishi naomba unipe maana ya neno hili
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Basi sawa
Naona mnafaidi 3some.
Ooh sana tu!Threesome is awesome![emoji1][emoji1][emoji1]
Leo haujauliza kama wana chura mkuu....Threesome is awesome![emoji1][emoji1][emoji1]
Ha ha kumbe unamfahamu huyu mharibifu,Leo haujauliza kama wana chura mkuu....
Ha ha ha haaaNa ndipo Yuda akauliza "Bwana na mimi mwenzangu ni nani?" Naye Bwana akajibu "Hebu kua siriasi utawaweza wote hao?"
Na Yuda akafadhaika moyoni akaona ni heri ampige bei Bwana kwa shekeli 30, povu alilomwagiwa liliosha kanzu 12 za wanafunzi wote ambao hawakuwahi kufanya mtihani.
Ung3s3 1: 2 - 5
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] Joseverest naelewa sanaa adi sio vizur"Basi ikawa ijumaa, mida ya alasiri palitokea kijana mmoja anaitwa Ivuga, katika jamvi lile pendwa la chitchat akatoa onyo kali kwa wafuasi wa jukwaa na kuwaambia kuwa ameopoa vigoli wawili, akaendelea kusisitiza kwa onyo kali kuwa atakaewasogelea atakiona cha mtema kuni, wafuasi wale wa jukwaani hawakusadiki maneno yake; wengine wakamuita muhujumu uchumi, wengine wakamwambia una tamaa, wengine wakadiriki kumuita mshika pembe Lakini akabaki na msisitizo wake kuwa anawapenda vigoli wale wawili kwa majina Inna na relato "
Ijumaa 7:7
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] Joseverest naelewa sanaa adi sio vizur"Basi ikawa ijumaa, mida ya alasiri palitokea kijana mmoja anaitwa Ivuga, katika jamvi lile pendwa la chitchat akatoa onyo kali kwa wafuasi wa jukwaa na kuwaambia kuwa ameopoa vigoli wawili, akaendelea kusisitiza kwa onyo kali kuwa atakaewasogelea atakiona cha mtema kuni, wafuasi wale wa jukwaani hawakusadiki maneno yake; wengine wakamuita muhujumu uchumi, wengine wakamwambia una tamaa, wengine wakadiriki kumuita mshika pembe Lakini akabaki na msisitizo wake kuwa anawapenda vigoli wale wawili kwa majina Inna na relato "
Ijumaa 7:7
Hahaha nimeipenda hii. Nitakuja kujibu badae"Basi ikawa ijumaa, mida ya alasiri palitokea kijana mmoja anaitwa Ivuga, katika jamvi lile pendwa la chitchat akatoa onyo kali kwa wafuasi wa jukwaa na kuwaambia kuwa ameopoa vigoli wawili, akaendelea kusisitiza kwa onyo kali kuwa atakaewasogelea atakiona cha mtema kuni, wafuasi wale wa jukwaani hawakusadiki maneno yake; wengine wakamuita muhujumu uchumi, wengine wakamwambia una tamaa, wengine wakadiriki kumuita mshika pembe Lakini akabaki na msisitizo wake kuwa anawapenda vigoli wale wawili kwa majina Inna na relato "
Ijumaa 7:7
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hahaha[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] Joseverest naelewa sanaa adi sio vizur
We best weweeee. MmhhhCc Inna pic pliz nione uzuri wako mdada
Habari bila pic hainogi rafikiWe best weweeee. Mmhhh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]Leo haujauliza kama wana chura mkuu....