Hii sio kawaida, Kenya inaelekea kubaya sana

Hii sio kawaida, Kenya inaelekea kubaya sana

Hawa bado kidogo watakuwa kama ufaransa tu 🤣🤣🤣
Wafaransa wale ni vizazi na vizazi.Hata hivyo maandamano yaliwasaidia kuondoa utawala wa kifalme wa kinyonyaji,kuwa na social security nzuri na wasio na kipato kikubwa matibabu bure asilimia mia.Ufaransa ni nchi number moja Ulaya kwa social security nzuri.Hata Kenya bila kuandamana kamwe wasingepata tume huru.
Ufaransa sasa wanapambania hawataki muda wa kustaafu uongezwe kutoka 62 mpaka 64.
Ufaransa wanaamini katika maandamano,maana kila kilichopo kizuri kwa wananchi,kilipambaniwa mtaani.
 
ila hii movement itaifanya kenya kuwa taifa lenye nguvu sana kuliko nchi yoyote africa mashariki
Mpaka sasa jamaa wapo vizuri kiukweli, ukitazama ktk swala la Diaspora tu jamaa wana namba mzuri sana na wana perform vizuri financial
 
Mpaka sasa jamaa wapo vizuri kiukweli, ukitazama ktk swala la Diaspora tu jamaa wana namba mzuri sana na wana perform vizuri financial
Nchi gani iliyopata maendeleo yoyote kwa kutumia "remittances"?. Diaspora ya Kenya imekuepo kwa miaka mingi, lakini kadri diaspora inavyoongezeka ndio hali ya uchumi Kenya ndio inazidi kuzorota, hiyo inatoa picha gani?
 
Nchi gani iliyopata maendeleo yoyote kwa kutumia "remittances"?. Diaspora ya Kenya imekuepo kwa miaka mingi, lakini kadri diaspora inavyoongezeka ndio hali ya uchumi Kenya ndio inazidi kuzorota, hiyo inatoa picha gani?
Kuzorota kwanuchumi wao nafikir ni matokeo ya ubazilifu ila kama watakuja kukaa sawa wakipata kiongozi ambae walau akadhibiti mianya walau kwa kiasi kamaa wata. Enda juu sanaa..

Nafikiri hata mapato yao ya utalii ni makubwa compare na hapa Tz . Ni maoni yangu tu haya
 
Kuzorota kwanuchumi wao nafikir ni matokeo ya ubazilifu ila kama watakuja kukaa sawa wakipata kiongozi ambae walau akadhibiti mianya walau kwa kiasi kamaa wata. Enda juu sanaa..

Nafikiri hata mapato yao ya utalii ni makubwa compare na hapa Tz . Ni maoni yangu tu haya
Mkuu fuatilia mambo kwa undani sio kusikilizwa juu juu. Miaka 20 iliyopita, Kenya ilikua inaizidi Tanzania karibia katika "economic sectors zote", yaani kuanzia utalii, exports, manufacturing, construction, agriculture, transportation, Health, Sports, music, na zingine nyingi. Hivi Sasa Tanzania tumewazidi karibia Kila sector isipokua hizo "Remittances, flowers na chai. Kwenye mapato ya utalii tulishawazidi kwa mbali Sana.

Mkuu, ukiona nchi inasomesha raia wake, Kisha 50% ya "the best of it's educated citizens" wanakimbilia nje ya nchi Ili wapate pesa za kutuma nyumbani (remittances), badala ya kubaki nyumbani kujenga uchumi wa ndani, ujue hiyo nchi lazima uchumi utaanguka.
 
Back
Top Bottom