Kaka ndiyo maana huwa tunasema watoto wangu. Japo kuwa akina mama huwa wanakuja juu lakini kwa sheria hii, ina maana mtoto ni wa baba. Ningewashauli wakiwa wanadai haki pia wadai na kubadilishwa kwa sheria hii iliyopitwa na wakati. Wizara ya wanawake, jinsia na watoto mpo wapi???