Hii sms kuhusu TCU ina ukwel wowote........................ ...............????!?

....wanazusha 2 hizo habari mbona kwenye website yao hawajaandika..ebhu 2subiri 2one kama ni kweli
 
Sidhani kama kuna mtu ana presha kwa sababu tayari selection zipo tayari issue ipo kwenye mikopo hapo ndo watu watapata kiharusi kabisa.
 
Sidhani kama kuna mtu ana presha kwa sababu tayari selection zipo tayari issue ipo kwenye mikopo hapo ndo watu watapata kiharusi kabisa.

leo nakupa LIKEEEE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…