Hii stand kuu ya Arusha ni aibu kwa Rais wa nchi

Hii stand kuu ya Arusha ni aibu kwa Rais wa nchi

saigilomagema

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
4,683
Reaction score
7,222
Mji wenye pilika nyingi km Arusha unakuwaje na kastand kadogo kazamani km hii iliyopo? Utaambiwa kuna ubishani kati ya mbunge na viongozi wengine wa mkoa.

Wananchi ndio wenye nchi ndio wanaotumia stand nchi ina Rais eti pesa ipo na eneo lipo kule bondeni city ujenzi hauanzi, we Rais unajionaje?

Ndio maana watu wanashindwa kumsahau Magu, tunajua Gambo ana arrogance lakini ni nyau tu. Magu angetoa agizo tu na muda wa kuikamilisha wangefanya kazi usiku na mchana, vinginevyo warudi kwao.

Mji wa Mwanza stand kubwa 3; Buzuruga, Buhongwa na Nyegezi, Arusha kuna siasa za kishamba sana. Rais wasaidie wananchi wako stand kuu kubwa ya kisasa ijengwe.

Wasiwasi wangu wale wafanyabiashara wakubwa wa mjini kati wana mikono yao wanatumia viongozi km kina Gambo, ni akili finyu sana kukwamisha maendeleo ya nchi kwa maslahi ya watu wachache.
 
Gambo anazuiaje ujenzi wa stendi hapo Arusha mkuu
Maokoto... Stendi ya awali ilikuwa ijengwe Olasiti mwisho...wakabaini ilikuwa ni plans za Gambo na genge lake kupiga pesa.
Wajanja pale Manispaa nao wakampata Mhindi wao kule maeneo ya Oljoro JKT wakapeleka proposal stendi ihamie kule. Proposal ikapita kwa sharti kwamba Mhindi awape viwanja kadhaa vya bure kwa matumizi yao binafsi ili vinavyobaki ndo vitumike kwenye ujenzi wa stendi.

Gambo na genge lake wakahisi kuzidiwa maarifa!
Ndo hivyo sasa. Stendi Mpya itajengwa almost 15KM kutoka ilipo ya sasa.
Swali linakuja sasa: Je, kwa miondombinu na mitandao ya barabara zinazounganisha Arusha na mikoa mingine STENDI MOJA TU INATOSHA?

Kwa wageni wa mjini wa Arusha... stendi mpya inataka kujengwa uelekeo tofauti kabisa na barabara kuu zilizopo (Arusha-Nairobi, Arusha-Babati-Mwanza, Arusha-Moshi-Tanga-Dar).
Bila ubunifu taabu itabaki mle mle!
 
Yaani Stendi iwe aibu Kwa Rais badala ya kuwa aibu Kwa Jiji na Mkoa?

Kama wenye Jiji lao sio kipaombele Chao unataka waamuliwe na Rais? Huo ni ujinga kama sio upumbavu.

Mwenge wamejenga stendi Kwa Mapato ya ndani ,Arusha Ina Mapato zaidi ya Bilioni 40 inashindwa kujenga Stendi Hadi wasubirie Bajeti ya Samia?👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C_tSr25NY8U/?igsh=eWg5d3RlbGppM2ty

Hata hivyo Kuna mradi wa Stendi unaendelea na ujenzi hapo Arusha.

Mbeya wanahela and sio wabahili,Arusha/Moshi km sio ukoo wao hata Maji yakunywa unaweza usipewe,Makonda anakazi sn kule juu
 
Shida ya stand ya Arusha wanafanya parking hapo.

Trafik wapo hawafanyi lolote, kuna siku ikabidi nipate maoni ya wadau ikaonekana ni rushwa tu zinatembea tu.

Kwa lile eneo kama kunakuwa na matumizi mazuri kwa maana ya stand linaweza lisilete changamoto sana.
 
Yaani Stendi iwe aibu Kwa Rais badala ya kuwa aibu Kwa Jiji na Mkoa?

Kama wenye Jiji lao sio kipaombele Chao unataka waamuliwe na Rais? Huo ni ujinga kama sio upumbavu.

Mwenge wamejenga stendi Kwa Mapato ya ndani ,Arusha Ina Mapato zaidi ya Bilioni 40 inashindwa kujenga Stendi Hadi wasubirie Bajeti ya Samia?👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C_tSr25NY8U/?igsh=eWg5d3RlbGppM2ty

Hata hivyo Kuna mradi wa Stendi unaendelea na ujenzi hapo Arusha.

Heee umeuona?? Uliiona wapi, hakunaga
 
Maokoto... Stendi ya awali ilikuwa ijengwe Olasiti mwisho...wakabaini ilikuwa ni plans za Gambo na genge lake kupiga pesa.
Wajanja pale Manispaa nao wakampata Mhindi wao kule maeneo ya Oljoro JKT wakapeleka proposal stendi ihamie kule. Proposal ikapita kwa sharti kwamba Mhindi awape viwanja kadhaa vya bure kwa matumizi yao binafsi ili vinavyobaki ndo vitumike kwenye ujenzi wa stendi.

Gambo na genge lake wakahisi kuzidiwa maarifa!
Ndo hivyo sasa. Stendi Mpya itajengwa almost 15KM kutoka ilipo ya sasa.
Swali linakuja sasa: Je, kwa miondombinu na mitandao ya barabara zinazounganisha Arusha na mikoa mingine STENDI MOJA TU INATOSHA?

Kwa wageni wa mjini wa Arusha... stendi mpya inataka kujengwa uelekeo tofauti kabisa na barabara kuu zilizopo (Arusha-Nairobi, Arusha-Babati-Mwanza, Arusha-Moshi-Tanga-Dar).
Bila ubunifu taabu itabaki mle mle!
Uelekeo tofauti kabisa na miundombinu hakuna
 
Yaani Stendi iwe aibu Kwa Rais badala ya kuwa aibu Kwa Jiji na Mkoa?

Kama wenye Jiji lao sio kipaombele Chao unataka waamuliwe na Rais? Huo ni ujinga kama sio upumbavu.

Mwenge wamejenga stendi Kwa Mapato ya ndani ,Arusha Ina Mapato zaidi ya Bilioni 40 inashindwa kujenga Stendi Hadi wasubirie Bajeti ya Samia?👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C_tSr25NY8U/?igsh=eWg5d3RlbGppM2ty

Hata hivyo Kuna mradi wa Stendi unaendelea na ujenzi hapo Arusha.

Ila ikijengwa utasikia mama ametufikia, mama ametujengea, mama amewekeza, mama blah blah...
 
Wanaenda mbele wanarudi nyuma. Stendi ya jiji imekaa vile jamani...hapo juu yake Kuna Ile stendi ya hice Ina vikibanda vichafuuu..Yani katkat ya mji pamejaa slums...halafu Kuna mkuu wa mkoa, Kuna RAS, Kuna mkuu wa wilaya, Kuna DAs, Kuna mkurugenzi, Kuna mbunge, Kuna mayor, Kuna madiwani, Kuna wenyeviti, Kuna maafsa tarafa, Kuna watendaji kata na watendaji mitaa (Wala rushwa wakubwa Hawa watendaji na matarafa) ..kwa kifupi Arusha imesimama na HAINA kipya...amekuja Makonda anatamani sana kubadilisha Arusha lakini hatafanikiwa ikiwa atabaki na hiyo team mbovu hapo chini yake...team mgando hiyo na watamwangusha asipokuwa makini....Ina MAANA vyombo havioni vikashauri mamlaka za teuzi ama wanataka Jimbo lipotee kizembe
Huo ndiyo ukweli kunatakiwa lipite panga la kusafisha kwa kuhamisha watendaji wengi hasa wa ardhi.
 
Maokoto... Stendi ya awali ilikuwa ijengwe Olasiti mwisho...wakabaini ilikuwa ni plans za Gambo na genge lake kupiga pesa.
Wajanja pale Manispaa nao wakampata Mhindi wao kule maeneo ya Oljoro JKT wakapeleka proposal stendi ihamie kule. Proposal ikapita kwa sharti kwamba Mhindi awape viwanja kadhaa vya bure kwa matumizi yao binafsi ili vinavyobaki ndo vitumike kwenye ujenzi wa stendi.

Gambo na genge lake wakahisi kuzidiwa maarifa!
Ndo hivyo sasa. Stendi Mpya itajengwa almost 15KM kutoka ilipo ya sasa.
Swali linakuja sasa: Je, kwa miondombinu na mitandao ya barabara zinazounganisha Arusha na mikoa mingine STENDI MOJA TU INATOSHA?

Kwa wageni wa mjini wa Arusha... stendi mpya inataka kujengwa uelekeo tofauti kabisa na barabara kuu zilizopo (Arusha-Nairobi, Arusha-Babati-Mwanza, Arusha-Moshi-Tanga-Dar).
Bila ubunifu taabu itabaki mle mle!
Ile proposal ya kujengwa eneo la SADC kwenye mashamba katikati ya tengeru na USARIVEr iliishia wap
 
Back
Top Bottom