saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Mji wenye pilika nyingi km Arusha unakuwaje na kastand kadogo kazamani km hii iliyopo? Utaambiwa kuna ubishani kati ya mbunge na viongozi wengine wa mkoa.
Wananchi ndio wenye nchi ndio wanaotumia stand nchi ina Rais eti pesa ipo na eneo lipo kule bondeni city ujenzi hauanzi, we Rais unajionaje?
Ndio maana watu wanashindwa kumsahau Magu, tunajua Gambo ana arrogance lakini ni nyau tu. Magu angetoa agizo tu na muda wa kuikamilisha wangefanya kazi usiku na mchana, vinginevyo warudi kwao.
Mji wa Mwanza stand kubwa 3; Buzuruga, Buhongwa na Nyegezi, Arusha kuna siasa za kishamba sana. Rais wasaidie wananchi wako stand kuu kubwa ya kisasa ijengwe.
Wasiwasi wangu wale wafanyabiashara wakubwa wa mjini kati wana mikono yao wanatumia viongozi km kina Gambo, ni akili finyu sana kukwamisha maendeleo ya nchi kwa maslahi ya watu wachache.
Wananchi ndio wenye nchi ndio wanaotumia stand nchi ina Rais eti pesa ipo na eneo lipo kule bondeni city ujenzi hauanzi, we Rais unajionaje?
Ndio maana watu wanashindwa kumsahau Magu, tunajua Gambo ana arrogance lakini ni nyau tu. Magu angetoa agizo tu na muda wa kuikamilisha wangefanya kazi usiku na mchana, vinginevyo warudi kwao.
Mji wa Mwanza stand kubwa 3; Buzuruga, Buhongwa na Nyegezi, Arusha kuna siasa za kishamba sana. Rais wasaidie wananchi wako stand kuu kubwa ya kisasa ijengwe.
Wasiwasi wangu wale wafanyabiashara wakubwa wa mjini kati wana mikono yao wanatumia viongozi km kina Gambo, ni akili finyu sana kukwamisha maendeleo ya nchi kwa maslahi ya watu wachache.