Hii style ya kufunga mikanda kwa wanawake ni fashion au ni ulimbukeni tu?

Hii style ya kufunga mikanda kwa wanawake ni fashion au ni ulimbukeni tu?

Ntandaba

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
922
Reaction score
1,483
Poleni sana wanawake wote kwa kazi ngumu za kulea familia
Kumekuwepo na namna mbalimbali za ufungaji wa mikanda kwa hawa wanawake.Kuna wale wanaojibinya au funga karibu na matiti yao,wengine tumboni,kiunoni na hata mlegezo pia.
Kuna wale wanaovaa magauni mapana ni kweli lazima wafunge mikanda ili kujikinga na dhahama inayoweza kusababishwa na upepo.
Je kwanini wanawake mnapenda kufunga mikanda ili hali nguo mnazo vaa zinakuwa tayari zimeshawabana?unamkuta binti kajifunga kamkanda kiasi cha kulazimisha kawowo na mwishowe anapata mateso ya kutembea,anatembea kama ananyatia kitu fulani hivi
 
Wewe ni KE ama ni ME ,ila utakuwa ni ME wewe maana siyo kwa umbeya, achakufanya tafiti kwa mambo yasio na tija kwako, ukishajuwa wanavaa mikanda ni fashion/ulimbukeni inakusaidia nini?
 
Wanaficha vitambi vinavyo tokana na dawa yao ya kuzuia mimba, weupe,kukuza mikalio na kurudisha maku udogo.
 
IMG-20160605-WA0047.jpg
 
Wengine wanakaza kama tibaigana wakati wana vitambii! wengi huwa vituko ingawa wachache hupendeza.
 
Inanichekeshaga sana ile mikanda loose wanafungaga wamama, yani bora mtu asifunge tu kuliko kufunga mkanda haueleweki
Na tupunguzage kula sometime jamani loh vitambi hata mabinti wadogo tu shepu hazionekani vitambi hivoo
 
Poleni sana wanawake wote kwa kazi ngumu za kulea familia
Kumekuwepo na namna mbalimbali za ufungaji wa mikanda kwa hawa wanawake.Kuna wale wanaojibinya au funga karibu na matiti yao,wengine tumboni,kiunoni na hata mlegezo pia.
Kuna wale wanaovaa magauni mapana ni kweli lazima wafunge mikanda ili kujikinga na dhahama inayoweza kusababishwa na upepo.
Je kwanini wanawake mnapenda kufunga mikanda ili hali nguo mnazo vaa zinakuwa tayari zimeshawabana?unamkuta binti kajifunga kamkanda kiasi cha kulazimisha kawowo na mwishowe anapata mateso ya kutembea,anatembea kama ananyatia kitu fulani hivi

Hahaaa ...., kwa nini na nyie wengi wenu mnavaa suruali na kufunga mkanda?!
 
Back
Top Bottom