Duuuhhh! Hiii timu huwa inachezea vichapo kwelikweliNasikia tofauti na Brazil Kuna nchi nyingine walienda kucheza na club moja hivi wakapigwa 15-1 kimya kimya wakarudi.
Maelezo yameandikwa walipigwa kweli, lakini huenda waandishi wanazingua ndio maana tunawauliza wanayanga wathibitisheha ha sasa maelezo yameandikwaje?
Hahahaha! Wa kupigwa fcNasikia pia miaka michache iliyopita walipigwa 5-0 hapo uwanja wa taifa,sijui kweli!
Weka gazeti kama mwenzako alivyofanyaBi Hindu fc mwaka jana tu walikula wiki kule bondeni
Duuuhhh aiseMimi nakumbuka 7-0 walifungwa Morocco Na Laja kasablanca.[emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini walifungwa au hawakufungwa? Hiyo ndio hoja ya msingiHizo ni akili za watu waliokosa ubingwa miaka mitano mfulilizo.
Lazima wapate namna nyingine ya kujifariji.
Habari za kutungwa hizo.Lakini walifungwa au hawakufungwa? Hiyo ndio hoja ya msingi
Mkude alitoa siri akavuliwa unahodha.Kuna timu nyingine kubwa ya hapa nyumbani inasemekana ilikula 7_0 huko bondeni mwaka Jana tu,na kwa sababu kichapo kilikuwa kimya kimya basi viongozi na wachezaji wakalishana yamini kuto toa siri hiyo
Walipigwa Week....Mimi nakumbuka 7-0 walifungwa Morocco Na Laja kasablanca.[emoji23][emoji23][emoji23]