Hii suala kuhusu Yanga ni kweli au ni uzushi tu?

Na timu ya walinzi wa hoteli.
Wao walipofungwa walijitahidi habari zisivuje, lakini imeshindikana. SDunia ilivyo pana na wazi, itawezekanaje watazamaji na wanahabari kwenye mechi iliyo rasmi, hata ya kirafiki kama hiyo inayosemekana mmoja kufungwa 13-0, wamudu kudhibitiwa mpaka matokeo yake yasijulikane na wadau waliobaki? Ina maana watu wote walioshiriki na kushuhudia mechi hiyo nao walilishwa yamini? Neno la kuambiwa ............
 
Kuna timu nyingine kubwa ya hapa nyumbani inasemekana ilikula 7_0 huko bondeni mwaka Jana tu,na kwa sababu kichapo kilikuwa kimya kimya basi viongozi na wachezaji wakalishana yamini kuto toa siri hiyo



Na hii iliyopigwa 7x2-1????
 
Kuna timu nyingine kubwa ya hapa nyumbani inasemekana ilikula 7_0 huko bondeni mwaka Jana tu,na kwa sababu kichapo kilikuwa kimya kimya basi viongozi na wachezaji wakalishana yamini kuto toa siri hiyo



Na hii iliyopigwa 7x2-1????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…