Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadai takwimu zake zimejaa uongo kwa 100% wakati wewe nawe unadai ^huenda^???Mchengerwa kaliibia taifa na kulidanganya. Takwimu zake zimejaa uongo kwa 100%.
Katika uhalisia, huenda watanzania halisi waliojiandikisha hawafiki hata milioni tano.
Wewe unamuamini Mchengerwa?Unadai takwimu zake zimejaa uongo kwa 100% wakati wewe nawe unadai ^huenda^???
Unapomsaididia huyu mkwe na sisi tusaidie hili, uandikishaji umefanyika kwenye makaunta buku siyo kimtandao, ni vipi ndani ya saa 12 ameweza kukusanya makaunta buku yote ya vijijini na mijini na kujumlisha wote waliojiandikisha? Kumbuka uandikishaji haukufanyika kimtandao.Unadai takwimu zake zimejaa uongo kwa 100% wakati wewe nawe unadai ^huenda^???
Aisee, yaani 50% ya Watz wamejiandikisha. Hongera Tanzania.
Sasa unaona? Kumbe ungepaswa kuuliza swali hilo na wala si kutoa hitimisho ambalo huna uhakika nalo.Unapomsaididia huyu mkwe na sisi tusaidie hili, uandikishaji umefanyika kwenye makaunta buku siyo kimtandao, ni vipi ndani ya saa 12 ameweza kukusanya makaunta buku yote ya vijijini na mijini na kujumlisha wote waliojiandikisha? Kumbuka uandikishaji haukufanyika kimtandao.
USISHIRIKI UONGO.
Wapi nimetoa hitimisho!Sasa unaona? Kumbe ungepaswa kuuliza swali hilo na wala si kutoa hitimisho ambalo huna uhakika nalo.
Usinifanye niamini hujui kusoma. Ukiwa huna taarifa za kweli, ni makosa kutuhumu. Ni busara kuomba mwongozo kutoka kwa wale wanaojua.Wapi nimetoa hitimisho!