anyway so you were just curious to know about the rest of women, mimi nimekupa corrective means so just ignore it. and sorry kwa kukufanya usome maelezo ambayo hayana faida kwako.
but nimependezwa sana na tabia yako kwamba despite her weakness wewe unazidi kumpenda zaidi. hiyo ni nzuri sana. ni wanaume wachache sana ambao mpungufu ya wenzi wao wanayakubali na kuongeza upendo
Du! maelezo yako ya kwanza i'm sorry kama nimekuudhi , sikumaanisha kama ulivyofikiria, nisingekujibu kama hayana faida.
Hasante sana kwa maelezo ya chini, maisha ni mafupi na always nashauri lazima mtu akubalikubadilika baada ya kuoa. Lazima mtu ajifunze kupenda but la muimu zaidi ni kumtanguliza Mungu mbele.
mimi ndivyo nilivyo kabisaa nimeachwa na gari na mume wangu mpaka ,sikuhizi nimegoma kupanda natumia daladala,hata asubuhi namwambia we nenda tu ,alafu najikuta naninapoishi hamna daladala mpaka utembee 1km,du ila nshazoea ,kuachwa tena jumapili nimeachwa kwenda kanisani hahahahah yani siwezi acha kabisa,
Kwanini inatokea hivi???????
wanawake tuna majukumu mengi sana hujaagiza chakula mchana ,usiku ,una mtoto mdogo hujaacha maelekezo,hujasisitiza usafi,yaani mambo mengi,mwanamme yeye akiamka asubuhi hawazi lolote zaidi yakuuliza umenipigia pasi?avae achukue funguo aende kwenye gari aanze kupiga horne,thats all,kumbuka pia mara nyingi mwanamke ni wamwisho kulala ahakikishe nyumba yake safi jion kila kitu kipo sawa principle hii inaitwa LIFO -Last in First out,mfano unatoka na mtoto ujiandae wewe then mtoto,yeye anajiandaa yeye tu then hapo hakuna uwiano,yaani binafsi mume wangu ananiudhi jinsi anavyonishurtisha kuwahi nimefika mwisho nikamwambia we nenda tu ntapanda daladala na nimezoea sababu anawasha gari anasogea taratibu taratibu unakuta yuko mbali ,basi nasema tu shida ya nini?
hapana hujakosea i was just trying to be polite. lkn kweli sijaudhika na please usinielewe hivyo kwani nilifikiri tu kwamba nimekupa kazi am so sorry please please and am ok sijui nisemeje? Nafikir nilichomaanisha nimeshindwa kukielezea kweli samahan sana on bended knees.
So sad.. u dont deserve it, why? kwa nini akuache? what u can do jioni mkisha kula wakati mnaenda kulala msuburi akishazima taa wewe washa alafu kaa muombe na yeye akae.... muangalie machoni umuulize kwa upole kama unadeserve kuachwa na kupanda daladala kwa sababu ya kumake sure watoto wake wanabakisalama.
Mimi kama nataka kuwai namuachia mke wangu gari alafu mimi ndo napanda daladala.....
Usijali bana.. vipi wewe humcheleweshi mtu.. you sound so english.. i mean uko scheduled.
Umepata mke mwema sana,moja kati ya tabia njema na ya kupendeza kwa mke ni kuhakikisha kila kitu kipo poa na kinaendelea sawa katika mazingira yanayowazunguka,yaani hata ukikuta jambo fulani halipo sawa bt only if wewe(mwanaume)umeshatimiza majukum yako,uanapaswa kumhoji mama kwanini hiki hakipo hivi,haiihitaji kuomba ushauri,bt kumuomba Mungu akutunzie mwenzi wako!!!Sisi tunatumia gari moja namshusha ofisini kwake na jioni nampitia tunarudi.. sasa asubui toka tunaamka mpaka tuaondoka yeye ni kutoa maagizo tu..... sasa kali zaidi wakati ndo tunatoka ndani kuelekea parking..Men, it takes another 5 to 10 mnts mpaka afike. Anaanza upya, - mmenielewa?...usahau.... watoto muhakikishe.....usafi ...
Sasa na wakati wa kumpitia jioni kurudi nyumbani nampigia simu namwambia baada ya nusu saa nitakua hapo.. yaani nikifika it will take another 15 mnts atoke huko ofisini.. ukimuuliza eti nilikua nazima computer.... mwanzoni ilinipa shida sana ila imebidi nizoee tu... kama nawai mahali lazima nianze kuondoka 1hr before.
But ilove her to death.
mimi ndivyo nilivyo kabisaa nimeachwa na gari na mume wangu mpaka ,sikuhizi nimegoma kupanda natumia daladala,hata asubuhi namwambia we nenda tu ,alafu najikuta naninapoishi hamna daladala mpaka utembee 1km,du ila nshazoea ,kuachwa tena jumapili nimeachwa kwenda kanisani hahahahah yani siwezi acha kabisa,
Kwanini inatokea hivi???????
wanawake tuna majukumu mengi sana hujaagiza chakula mchana ,usiku ,una mtoto mdogo hujaacha maelekezo,hujasisitiza usafi,yaani mambo mengi,mwanamme yeye akiamka asubuhi hawazi lolote zaidi yakuuliza umenipigia pasi?avae achukue funguo aende kwenye gari aanze kupiga horne,thats all,kumbuka pia mara nyingi mwanamke ni wamwisho kulala ahakikishe nyumba yake safi jion kila kitu kipo sawa principle hii inaitwa LIFO -Last in First out,mfano unatoka na mtoto ujiandae wewe then mtoto,yeye anajiandaa yeye tu then hapo hakuna uwiano,yaani binafsi mume wangu ananiudhi jinsi anavyonishurtisha kuwahi nimefika mwisho nikamwambia we nenda tu ntapanda daladala na nimezoea sababu anawasha gari anasogea taratibu taratibu unakuta yuko mbali ,basi nasema tu shida ya nini?
Duu,kumbe hiyo ni adhabu eeh,basi wabongo tuanaadhibishwa kinoma na naona watubadilishie adhabu coz hii imeshazoeleka na inaonekana kama anasa sasa!!!Wote wako hivyo hivyo, mimi huwa nawasha gari naanza kabisa kuondoka anafanya kunifukuzia. Maana ukisema umsubiri hamalizi! Ila huwa ananiweza wakati wa kurudi, maana ukimpitia ofisini kwake atakuweka hapo hata saa zima. But there was a day niliamua kuondoka, nikampa adhabu ya kupanda daladala, angalau siku chache baadaye alishika adabu, although with time akarudi kulekule. Nafikiri hawa wenzetu ndiyo wapo hivyo.
we ni mwanaume mzuri sana,unajua kupenda. Mko wachache
siko kama hivyo niko punctual sana na maisha tu ndio yamenifanya niwe hivyo. sinaga second hand na huwaga nina kamsemo kangu ya kwamba "ukiwete ni mbaya" so sinaga utegemezi wa mtu kunifanyia jambo hii imenipa discipline sana hasa katika kujali muda.
mimi ndivyo nilivyo kabisaa nimeachwa na gari na mume wangu mpaka ,sikuhizi nimegoma kupanda natumia daladala,hata asubuhi namwambia we nenda tu ,alafu najikuta naninapoishi hamna daladala mpaka utembee 1km,du ila nshazoea ,kuachwa tena jumapili nimeachwa kwenda kanisani hahahahah yani siwezi acha kabisa,
Kwanini inatokea hivi???????
wanawake tuna majukumu mengi sana hujaagiza chakula mchana ,usiku ,una mtoto mdogo hujaacha maelekezo,hujasisitiza usafi,yaani mambo mengi,mwanamme yeye akiamka asubuhi hawazi lolote zaidi yakuuliza umenipigia pasi?avae achukue funguo aende kwenye gari aanze kupiga horne,thats all,kumbuka pia mara nyingi mwanamke ni wamwisho kulala ahakikishe nyumba yake safi jion kila kitu kipo sawa principle hii inaitwa LIFO -Last in First out,mfano unatoka na mtoto ujiandae wewe then mtoto,yeye anajiandaa yeye tu then hapo hakuna uwiano,yaani binafsi mume wangu ananiudhi jinsi anavyonishurtisha kuwahi nimefika mwisho nikamwambia we nenda tu ntapanda daladala na nimezoea sababu anawasha gari anasogea taratibu taratibu unakuta yuko mbali ,basi nasema tu shida ya nini?
lukolo mimi nikitoka kazini naenda home yy huwa anachelewa kurudi kulingana na nature ya kazi yake ila sio kila siku,akiwahi ananipigia na huwa ananisubiri siku kawahi hajawahi kuniacha sema mimi huwa siendekezi am confortable with daladala,sababu ninapoishi hakuna foleni kabisa, there is plenty of viford tatizo ni hapo ukishuka unatembea 1km au boda bodaNa kutoka ofisini je? Huko huwa mnafanya nini?
ni kweli tatizo hilo lipo sana kwa wanawake,lakini mara nyingi nimeobserve nikaona mama anaamka ahakikishe kila kitu kipo sawa nyumbani ndipo atoke wakati mwanaume anajiandaa na mara nyingi anaweza kunywa chai wakati mke wake hapati huo muda.atatoka nje honi kwa wingi.saidia majukumu mnapoamka itapunguza kuchelewa.pendeni wake zenu
sakapal unasema ukweli shostito hawa wanaume noumaaa,magari haya ni vitu vyakupita tu mi hainipi tabu nafanyaga shopping zangu taratibu naninamaliz kabisashoste kama ni mfanyakazi uchumi ukikukalia vizuri nawe unanunua hata nissan march ili uwe na amani hata kwenda sokoni kununua vitu vya wiki inakuwa soo