Hii tabia ni mke wangu tu au?


Ni kweli mwanzoni huwa inatiaga hasira sana, ila kama ulivyosema we must treat them tenderly and love them .If you love her then you wont see it as problem , you will learn to cope with it.
 
kwenda zako wewe ugoigoi anao huyo wako ,ugoigoi unahusikaje hapa un atokwa maneno tuuuu bangi za mchana bwana ,milioni na laki ipi kubwaaaa.............
 


All human females are the same
 
Hehehehe... mkuu unatisha.. yaani mimi nikijaribu ndani ya nusu saa simu ya mama angu inaingia. Na nitapata semina kila siku si chini ya mwezi mmoja..aisee Du!

hizo ni dalili umelelewa na mama peke yake (mtoto wa mama)
 

....."for better or worse....!" si ulitamka NDIO? Sasa nini tena unaanza kumeng'eneka?
 

Umetisha kaka Police ha ha ha ha ha ha
 
Hehehehe... mkuu unatisha.. yaani mimi nikijaribu ndani ya nusu saa simu ya mama angu inaingia. Na nitapata semina kila siku si chini ya mwezi mmoja..aisee Du!
uwiiiiiiiiiiiii kama ni hivyo, bora tu kumsubiri, simu mwezi! u have made me to laugh out loud! lol!
 
kwenda zako wewe ugoigoi anao huyo wako ,ugoigoi unahusikaje hapa un atokwa maneno tuuuu bangi za mchana bwana ,milioni na laki ipi kubwaaaa.............
nivea mi-like ya kutosha hiyooooo, tena wanaume wa hivi anaongea hapa tu, mbele ya mkewe thubutu!
 
Last edited by a moderator:
Tatizo wanawake wanajipodoa mno usoni mpaka ajipige kiwi usoni muda usha kwenda
 
hili tatizo lipo hasa kwa wanawake wanaojiona wanakipato KIKUBWA kuliko waume zao.
 
Hapa Bishanga na Mtambuzi sijawaona haya mambo yanawahusu vile,jamani wanaume tuwavumilie wake zetu wana majukumu mengi sana kwnza wanalala wamechoka sana still asubuhi inawasubiri huo muda anaamka we umevuta shuka tena ukute mwanaume mlevi hajui hata watoto wake kama wamekula au lah anarudi usiku wa manane,majukumu yote yanamuelemea mama dah poleni sana,wanunulieni magari waende wenyewe ikitokea amechelewa kama kweli unampenda na kumjali coz vikwapa vya kwenye daladala navyo ni balaa
 
Tabia ya kuchelewa ni tabia ya % kubwa ya wanawake, hapa kwa sababu sarikoki kamuongelea my wife wake baadhi ya wachangiaji wanajaribu kujificha nyuma ya majukumu ya mwanamke aliye na familia watoto nk, hebu kuweni wakweli mseme kinachowachelewesha mabinti ambao hawana familia au ambao hawawajibiki na mambo ya usafi na upishi ktk familia zao! Kwa yeyote ambaye amepitia maisha ya chuo atajua kuwa hata huko tabia ya kuchelewa kwa mabinti ni sugu kwelikweli, au na huko wanakuwa wanatoa maagizo ya usafi, vyakula nk?! Kuna vitabia vya hovyo ambavyo mara nyingine ingefaa mhusika atafute namna ya kuachana navyo badala ya kutafuta visingizio na kuvihalalisha.
 
JF mwanzo mwisho. Mume wangu angekuwa member ningesema leo kaamua kutoa siri za ndani; maana huyu wife wa jamaa ana tabia kama zangu; mume wangu akija nipitia job analalamika eti kwa nini sikuzima computer na amenipigia kuwa anakuja.

Jamani; yani nizime computer wakati sijuhi exactly utachukua muda gani kwenye foleni; kuweni fair kidogo. Wakati mwingine nasema ngoja nifuate masharti basi nazima; afu nakaa saa nzima jamaa hajatokea.

Kuna siku ilikuwa tunatoka jioni; sasa yeye si unajua tena akitia t shirt yake na jeans kamaliza; mimi niangalie hereni ziko wapi, wanja lipstick sijuhi nini; huwezi amini alisusa. Namwambia twende, ooh nimegaili naangalia mechi.
Nkamwambia lete funguo mi najisikia kutoka... mbona alichanganya miguu kuelekea garini.

Hiyo ndo raha ya ndoa; lazima mtu akubore bana kidogo, otherwise kila kitu kikiwa kwenye mstari maisha yatachosha. Lol.

 
Kuna dada alinihusia kutotumia magari tofauti bila ya sababu; kuna wasubiri lift shaurilo. Lol.


shoste kama ni mfanyakazi uchumi ukikukalia vizuri nawe unanunua hata nissan march ili uwe na amani hata kwenda sokoni kununua vitu vya wiki inakuwa soo
 
Kaka huyo ndo mwanamke, tena mnaweza kwenda hata 2km ukasikia nimesahau pochi nyumbani, inabidi mrudi
 
Two experiences.
My mother is that way. Baba atasema weee, yeye kimya tu anamalizia mambo yake. Akimharakisha sana huwa anasema ungekuwa na haraka ungewahi jana. Kuna siku moja walikuwa wanaenda sehemu moja baba akamuacha hakuondoka kabisa.
Anajitahidi ila mambo ni mengi.
Mine thanks God he understand, ila na yeye analalamika mara chache. Thank we are not women of make ups and we can take bath in short time, i guess it could be horrible if we could add those.
 
mnunulie kagari kake, kivitz au kasuzuki swift, bei sawa na bure. na hizo kero zote zitaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…