Super human
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 1,147
- 749
- Thread starter
-
- #21
upande upi?YAANI UNADHIHIRISHA KABSAAA WEWE NI WA UPANDE HUU ......GA
kwa watu wengine sawa ila kwa Mimi hua sipend kabsaKawaoda tuu mkuu usiogope
kuna watu hua wanahis kila wanachokifanya kwa wengine ni sahihi, pasipo kuwaza wanajisikiajeMi cpendi tabia ya kusalimiana kwa kushikana mikono, au unakuta jitu linakushtukizia ujaliona linakuziba macho kwa nyumba( ukute limeshika pum*u zake msalan afu linakugusa gusa au kukushika shika tu
I hate this kwa kweli
Mi cpendi tabia ya kusalimiana kwa kushikana mikono, au unakuta jitu linakushtukizia ujaliona linakuziba macho kwa nyumba( ukute limeshika pum*u zake msalan afu linakugusa gusa au kukushika shika tu
I hate this kwa kweli
Kuna tabia ya baadhi ya wanaume kupenda akiongea jambo basi akushike begani or what, huwa inanikera sana sipendi mwanaume mwenzako anaongea na wewe halafu anataka kutouch any part of my body.
Naichukia na huwa siifanyi na anaeifanya huwa nakuwa sipo comfortable kuongea nae na huwa nashindwa kumdefine kabisa.
Labda nakosea nilivyoandika mtanirekebisha ila hivi vitu vipo and kama hupendi kuropoka utakuta jitu linaongea huwa najiuliza haya mazoea ndo yale ya utoto mnatembea au ni nini? Always natanguliza interest nipo against homosexuality 200%.
Kuna tabia ya baadhi ya wanaume kupenda akiongea jambo basi akushike begani or what, huwa inanikera sana sipendi mwanaume mwenzako anaongea na wewe halafu anataka kutouch any part of my body.
Naichukia na huwa siifanyi na anaeifanya huwa nakuwa sipo comfortable kuongea nae na huwa nashindwa kumdefine kabisa.
Labda nakosea nilivyoandika mtanirekebisha ila hivi vitu vipo and kama hupendi kuropoka utakuta jitu linaongea huwa najiuliza haya mazoea ndo yale ya utoto mnatembea au ni nini? Always natanguliza interest nipo against homosexuality 200%.
Kuna tabia ya baadhi ya wanaume kupenda akiongea jambo basi akushike begani or what, huwa inanikera sana sipendi mwanaume mwenzako anaongea na wewe halafu anataka kutouch any part of my body.
Naichukia na huwa siifanyi na anaeifanya huwa nakuwa sipo comfortable kuongea nae na huwa nashindwa kumdefine kabisa.
Labda nakosea nilivyoandika mtanirekebisha ila hivi vitu vipo and kama hupendi kuropoka utakuta jitu linaongea huwa najiuliza haya mazoea ndo yale ya utoto mnatembea au ni nini? Always natanguliza interest nipo against homosexuality 200%.
duh asee hapo kiwiko lazma kihusike kkufumua receptionbora hata hiyo wengine wanafika mbali wanashikana viuno kabisa ukiuliza unaambiwa eti ni mabest friend wakiume
mijitu ya ivo hua nashangaa haijistukii Kabsaa .maana unakuta mingine imeenda shule hata haijui Kantian ethicsMkuu yaani umeandika issue ambayo ni kweli ipo na inakera sana. Sisi wanaume kushikana labda kushake hands ila yapo majitu kila sentensi mara kakushika bega mara paja mara mkono inakera sana. Mimi kuna siku nilikaa na majitu ya hivyo mawili moja kulia lingine kushoto kila rangi niliona ilibidi nihame siti was.... nge kweli watu wa hivyo. Halafu yako kibao, very disgusting!!!
Kuna tabia ya baadhi ya wanaume kupenda akiongea jambo basi akushike begani or what, huwa inanikera sana sipendi mwanaume mwenzako anaongea na wewe halafu anataka kutouch any part of my body.
Naichukia na huwa siifanyi na anaeifanya huwa nakuwa sipo comfortable kuongea nae na huwa nashindwa kumdefine kabisa.
Labda nakosea nilivyoandika mtanirekebisha ila hivi vitu vipo and kama hupendi kuropoka utakuta jitu linaongea huwa najiuliza haya mazoea ndo yale ya utoto mnatembea au ni nini? Always natanguliza interest nipo against homosexuality 200%.
Sasa back to high school kulikuwa na huyu mshikaji anapenda Ku nong'oneza balaa.. Kila kitu ni whispering.. Hata muwe Wawili in a room, he will somehow bend towards your ear and try to whisper... Basi tukawa tundiss sana ndo akaja kupunguza... Hii hali inaboa sana aiseeeAu wale wakuegemea wenzao..mmekula pozi mahali amekunja mkono wake af kauegemezea began kwako... ujinga huu nauchukia
kuna mijitu ikiongea kama machiz kk, Hivi we unamgusa mwanaume mwenzio unataka nn? yaani sio staha kabsaa. Halafu ni kama undermining piaDu alikushika bega tu mkuu.... ? Naona kakurushia stimu....hata mm na hate hizo swagz za kimombasa....
Unaujua wimbo Wa 2pac unaitwa hit em up....hahaa pole mkuu...that punk is rat asskuna mijitu ikiongea kama machiz kk, Hivi we unamgusa mwanaume mwenzio unataka nn? yaani sio staha kabsaa. Halafu ni kama undermining pia
Delivered.Msg sent and delivery