acheni kutusingizia wanaume wa siku hizi kila kitu sisi.. haya mambo yameanza tangu enzi za Arus Mabele na Pepe Kale.wanaume siku hizi wana viuno vilaini kushindwa wanawake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] jukwaani tu kitandani hamna kituwanaume siku hizi wana viuno vilaini kushindwa wanawake.
HahahahhsMjini msingi kiuno mkuu
hao walikuwa wanatikisa matumbo tu hawana lolote........acheni kutusingizia wanaume wa siku hizi kila kitu sisi.. haya mambo yameanza tangu enzi za Arus Mabele na Pepe Kale.
wengine hadi kitandani usiombe kukutana nao utanena kwa lugha..........[emoji23] [emoji23] [emoji23] jukwaani tu kitandani hamna kitu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hata mimi [emoji85] [emoji85]wengine hadi kitandani usiombe kukutana nao utanena kwa lugha..........
wamakonde .....wazaramo ni noma aiseeee.
NB.
Usiniulize nimejuaje.
basi sawa kama hata wewe..................[emoji23] [emoji23] [emoji23] hata mimi [emoji85] [emoji85]
Huhitaji test drive kuthibitisha hili?[emoji85] [emoji125]basi sawa kama hata wewe..................
sijasema wao nimesema tangu enzi zao, angalia nyimbo za koffi Olomide amigizileee ayayaaa amigizilee na kocho kocho. viuno hivihivi unayoviponda ndo vinawafanya mkimbilie kwa wakongo, nyie madem aliewaroga kashakufa hamjielewi mnapenda nini [emoji52] [emoji52]hao walikuwa wanatikisa matumbo tu hawana lolote........
niko full sasa sihitaji test tena...........Huhitaji test drive kuthibitisha hili?[emoji85] [emoji125]