Hapa Tz hakuna kiwanja chenye sifa ya kuwekwa var ...labda kidogo kwa mkapa ....vingine vyote ni hovyo [emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787]dharau hizi sasa jaman dah
HahahahaVAR uipeleke Karume au Sokoine hata yenyewe itagoma kufanya kazi. Viwanja kama mashamba ya mpunga
Hata ubao wa kibadilisha wachezaji wameshindwa kununua wanabandika makaratasi sembuse VAR?Mmeshindwa kufungaa taaa kwenye viwanja mtaweza var [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
kwani VAR gharama yake ni bei gani[emoji848][emoji848]