Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
husika na maada tajwa hapo juu,
Tunaomba wahusika waendelee kuchakata namna nyingine yakisasa zaidi ya ving'amuzi, kama inawezekana hata majumbani tutumie mfano wa vile vung'amuzi vya kwenye mabasi maana haya madishi imekuwa kero sana hasa kwenye swala la kuyumba, unaweza kuta umelipia leo kwa mfano, halafu karibia mwezi unakata hujaona channel yoyote sababu ni dishi kuyumba, na huwa hakuna compensation yoyote ya siku ambazo channel hazijaonekana kutokana na kuyumba kwa DISH.
Tunaomba wahusika waendelee kuchakata namna nyingine yakisasa zaidi ya ving'amuzi, kama inawezekana hata majumbani tutumie mfano wa vile vung'amuzi vya kwenye mabasi maana haya madishi imekuwa kero sana hasa kwenye swala la kuyumba, unaweza kuta umelipia leo kwa mfano, halafu karibia mwezi unakata hujaona channel yoyote sababu ni dishi kuyumba, na huwa hakuna compensation yoyote ya siku ambazo channel hazijaonekana kutokana na kuyumba kwa DISH.