Uchaguzi 2020 Hii teua teua ya Wakurugenzi: Je, Rais Magufuli anapanga safu ya watangaza matokeo?

Uchaguzi 2020 Hii teua teua ya Wakurugenzi: Je, Rais Magufuli anapanga safu ya watangaza matokeo?

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
1,393
Reaction score
3,237
Wapinzani kuweni makini na hii teua teua ya wakurugenzi wapya kipindi hiki kuelekea uchaguzi. Ikumbukwe kuwa Wakurugenzi watendaji ndiyo wasimamizi wa uchaguzi kiufupi wao ndiyo watoa fomu na mwisho wa siku ndiyo watakaohusika kutangaza matokeo.

By the way, kwanini Wakurugenzi husika ni kutoka yale majimbo ambayo kuna upinzani? Mfano Wakurugenzi walioteuliwa Leo ni

Wilaya ya Mbeya kwa Joseph Mbilinyi (Sugu) pia inahudumia jimbo la Mbeya vijijini ambalo pia upinzani umekua sana hivi karibuni.

Wilaya ya Arusha kwa Godbless Lema.

Wilaya ya Same, ambako pia CHADEMA imetamalaki, Same Mashariki na Magharibi now CHADEMA ina nguvu kule.

Ifakara kwa Lijualikali

Je, siyo mkakati wa kumwandalia ushindi Lijualikali kwani ifakara ni CHADEMA tupu?

Wapinzani msiichukulie poa hii teua teua ya Wakurugenzi, hasa kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu siyo bure, everything happens for a reason.
 
Wapinzani kuweni makini na hii teua teua ya wakurugenzi wapya kipindi hiki kuelekea uchaguzi. Ikumbukwe kuwa Wakurugenzi watendaji ndiyo wasimamizi wa uchaguzi kiufupi wao ndiyo watoa fomu na mwisho wa siku ndiyo watakaohusika kutangaza matokeo.

By the way, kwanini Wakurugenzi husika ni kutoka yale majimbo ambayo kuna upinzani? Mfano Wakurugenzi walioteuliwa Leo ni

Wilaya ya Mbeya kwa Joseph Mbilinyi (Sugu) pia inahudumia jimbo la Mbeya vijijini ambalo pia upinzani umekua sana hivi karibuni.

Wilaya ya Arusha kwa Godbless Lema.

Wilaya ya Same, ambako pia CHADEMA imetamalaki, Same Mashariki na Magharibi now CHADEMA ina nguvu kule.

Ifakara kwa Lijualikali

Je, siyo mkakati wa kumwandalia ushindi Lijualikali kwani ifakara ni CHADEMA tupu?

Wapinzani msiichukulie poa hii teua teua ya Wakurugenzi, hasa kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu siyo bure, everything happens for a reason.
Acha kulia lia
Arusha Mkurugenzi alitumbuliwa,kwingine kuna walipanda vyeo na waliostaafu
 
Wapinzani kuweni makini na hii teua teua ya wakurugenzi wapya kipindi hiki kuelekea uchaguzi. Ikumbukwe kuwa Wakurugenzi watendaji ndiyo wasimamizi wa uchaguzi kiufupi wao ndiyo watoa fomu na mwisho wa siku ndiyo watakaohusika kutangaza matokeo.
It has to be clear that there is a steep price to pay on a personal level for any foolishness they are planning to carry out.
 
Hata kama hisia zako ni sahihi. Je unadhani wapinzani wanatakiwa kuchukua hatua gani? Kuna kitu chochote wanaweza kufanya ili kuondokana na rungu la wakurugenzi kwenye uchaguzi?
 
Safari hii hakuna uchaguzi, jiwe muoga sana huwa hapendi ushindani! Na kwa tume hii na hawa wakurugenzi waliopo sijui...! CCM ni li pepo fulani hivi, lazima likemewe
 
Mawakala wa vyaka kutoondoka na fomu za matokeo, hilo ndilo bao la mkono kuliko hao wakurugenzi.
 
Wapinzani kuweni makini na hii teua teua ya wakurugenzi wapya kipindi hiki kuelekea uchaguzi. Ikumbukwe kuwa Wakurugenzi watendaji ndiyo wasimamizi wa uchaguzi kiufupi wao ndiyo watoa fomu na mwisho wa siku ndiyo watakaohusika kutangaza matokeo.

By the way, kwanini Wakurugenzi husika ni kutoka yale majimbo ambayo kuna upinzani? Mfano Wakurugenzi walioteuliwa Leo ni

Wilaya ya Mbeya kwa Joseph Mbilinyi (Sugu) pia inahudumia jimbo la Mbeya vijijini ambalo pia upinzani umekua sana hivi karibuni.

Wilaya ya Arusha kwa Godbless Lema.

Wilaya ya Same, ambako pia CHADEMA imetamalaki, Same Mashariki na Magharibi now CHADEMA ina nguvu kule.

Ifakara kwa Lijualikali

Je, siyo mkakati wa kumwandalia ushindi Lijualikali kwani ifakara ni CHADEMA tupu?

Wapinzani msiichukulie poa hii teua teua ya Wakurugenzi, hasa kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu siyo bure, everything happens for a reason.
Duh...!.
Watu kwa ku connect the dots Bwana!.
Tarehe nyingi za kustaafu rasmi ni 30th June. Hivyo wengi wamefikia muda wa kustaafu, sasa unataka rais Magufuli aogope kuteua wengine kwa sababu ni mwaka wa uchaguzi?.

Kama issue ni wapinzani kurejesha majimbo, trends zinaelekeza wapinzani wengi watarejesha majimbo for non delivery, most have done nothing!, mfano jimbo langu la Kawe, Mbunge wetu did nothing this time hivyo, wasipombadilisha, sisi wana Kawe, tunampumzisha, na ikibidi kulirejesha jimbo CCM, tunalirejesha.
P
 
Duh...!.
Watu kwa ku connect the dots Bwana!.
Tarehe nyingi za kustaafu rasmi ni 30th June. Hivyo wengi wamefikia muda wa kustaafu, sasa unataka rais Magufuli aogope kuteua wengine kwa sababu ni mwaka wa uchaguzi?.

Kama issue ni wapinzani kurejesha majimbo, trends zinaelekeza wapinzani wengi watarejesha majimbo for non delivery, most have done nothing!, mfano jimbo langu la Kawe, Mbunge wetu did nothing this time hivyo, wasipombadilisha, sisi wana Kawe, tunampumzisha, na ikibidi kulirejesha jimbo CCM, tunalirejesha.
P
Hivi kweli Mkuu P,hata wewe unatoa hoja ya std 7 hv? Kwaio leo hujui kazi ya mbunge kwan mbunge kazi yake ni kujenga barabara au kuvuta maji en whatever mbunge yeye ni kuwasemea wananchi bungen angekua mdee anakusanya Kodi hapo sawa ilaumuni ccm inayokusanya Kodi zenu
 
Wapinzani kuweni makini na hii teua teua ya wakurugenzi wapya kipindi hiki kuelekea uchaguzi. Ikumbukwe kuwa Wakurugenzi watendaji ndiyo wasimamizi wa uchaguzi kiufupi wao ndiyo watoa fomu na mwisho wa siku ndiyo watakaohusika kutangaza matokeo.

By the way, kwanini Wakurugenzi husika ni kutoka yale majimbo ambayo kuna upinzani? Mfano Wakurugenzi walioteuliwa Leo ni

Wilaya ya Mbeya kwa Joseph Mbilinyi (Sugu) pia inahudumia jimbo la Mbeya vijijini ambalo pia upinzani umekua sana hivi karibuni.

Wilaya ya Arusha kwa Godbless Lema.

Wilaya ya Same, ambako pia CHADEMA imetamalaki, Same Mashariki na Magharibi now CHADEMA ina nguvu kule.

Ifakara kwa Lijualikali

Je, siyo mkakati wa kumwandalia ushindi Lijualikali kwani ifakara ni CHADEMA tupu?

Wapinzani msiichukulie poa hii teua teua ya Wakurugenzi, hasa kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu siyo bure, everything happens for a reason.
Naomba kuweka kumbukumbu sawa kwenye mambo mawili:

1. Mkurugenzi wa Arusha alieteuliwa ni wa Halmashauri ya Arusha vijijini (Arusha DC ) jimbo la Mheshimiwa Lema lipo jiji la Arusha ambapo mkurugenzi wake alitenguliwa pamoja na Mkuu wa mkoa

2. Mabadiliko ya kisiasa hutokea endapo Walio wengi wakiamua kwa dhati kuleta mabadiliko, nikupe mifano michache, KANU ya MOI (Kenya) , MDC ya KAMUZU BANDA (Malawi), UNIP ya KAUNDA (Zambia) pamoja na BOUTEFLIKA wa Algeria, AL BASHIR wa SUDAN, BEN ALLI wa TUNISIA wote hao waliondoka bila tume huru ya uchaguzi, hata kilichotokea karibuni Malawi ni funzo tosha kuwa Mabadiliko ni takwa la nyakati, wakati ukifika mabadiliko yatapatikana hata bila ya uwepo wa tume huru ya uchaguzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapnzani walishapata somo kwenye chaguzi zilozopita hasa zile za marudio na pia serikali za mitaa. Labda ccm watumie mtutu wa bunduki kama kawaida yao na hilo pia halitawahakikishia ushindi kwani Umma una nguvu zaidi kuliko vyombo vya Dala.
 
Hivi kweli Mkuu P,hata wewe unatoa hoja ya std 7 hv? Kwaio leo hujui kazi ya mbunge kwan mbunge kazi yake ni kujenga barabara au kuvuta maji en whatever mbunge yeye ni kuwasemea wananchi bungen angekua mdee anakusanya Kodi hapo sawa ilaumuni ccm inayokusanya Kodi zenu
Ebu rejea ahadi za wagombea wakati wa kampeni kabla ya kutoa hoja hafifu hiyo kumtetea Mbunge ambaye hakufanya hata kikao kimoja jimboni kwake, mbali na kutekeleza ahadi zake
Pascal Mayalla
 
Wapnzani walishapata somo kwenye chaguzi zilozopita hasa zile za marudio na pia serikali za mitaa. Labda ccm watumie mtutu wa bunduki kama kawaida yao na hilo pia halitawahakikishia ushindi kwani Umma una nguvu zaidi kuliko vyombo vya Dala.
Mna hoja hafifu sana. Wakati Wabunge wa upinzani wamekuwa wakiilaumu Serikali, kutukana viongozi wake na kususia vikao vya Bunge, wapiga kura waliona na kusikia.

Kibaya zaidi wakasusia uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ambao viongozi wake watapaswa kufanya nao kazi, wakifanikiwa kuteuliwa. Ni viongozi wa Serikali za Mitaa ambao pia watasaidia kuwawekea mazingira rafiki ya Wagombea kufanya kampeni.

Hivyo upinzani umekwisha kupoteza turufu ya ushindi mapemaaaa. Niwape pole zao, japo wafuasi humu JF wanajitutumua kwa kujipa moyo wa ushindi
 
Back
Top Bottom