Hii timu eti ndio ichukue Kombe la Shirikisho?

Mechi mbovu kabisa kuwahi kuiona maishani mwangu.. Itoshe kusema Yanga ni kikundi cha vibaka na panya road.
Povu ruksaa
Mkuu wewe ni mwananchi lia lia. Nini kimekusibu hadi uishambulie timu yako?
 
Mkuu wewe ni mwananchi lia lia. Nini kimekusibu hadi uishambulie timu yako?
Mkuu kwani ukiwa shabiki wa timu ndio uwe taahira kiasi cha kushindwa kuona mapungufu ya timu? We umeona wapi timu ipo nyumbani inacheza na timu dhaifu halafu unapoteza muda? Washabiki wametoka sehemu mbalimbali kuja kuona timu ikipata ushindi. [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Ngoja nikalale zangu hawa Yanga wameniharibia wkend yangu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…