Wapo wachezaji wengi wakiwa timu pinzani wanashindwa kabisa kuonesha kiwango hususan wanapokutana nao.
Unaweza hata ukadhani ni wachezaji wasio na kiwango kinachoimbwa.
Hata hivyo utashangaa ndio wachezaji wanaosajiliwa na club hiyo iliyowaroga na kwa vile wakienda kwao wanatengua uchawi,basi unawaona wamekuwa wapyaa na wanatisha.
Mfano utakuja kuona mengi sana kwa mtu kama Sowah.
Unaweza kujiuliza alikuwa wapi Afrika hii kwa kiwango atakachoonesha!
Hao wazee wenu ni wataalamu wa mazingaombwe sana.
Unaweza hata ukadhani ni wachezaji wasio na kiwango kinachoimbwa.
Hata hivyo utashangaa ndio wachezaji wanaosajiliwa na club hiyo iliyowaroga na kwa vile wakienda kwao wanatengua uchawi,basi unawaona wamekuwa wapyaa na wanatisha.
Mfano utakuja kuona mengi sana kwa mtu kama Sowah.
Unaweza kujiuliza alikuwa wapi Afrika hii kwa kiwango atakachoonesha!
Hao wazee wenu ni wataalamu wa mazingaombwe sana.