Hii timu mashabiki wake wengi ni jobless/ watu wasiokuwa na mahali pakulala

Hii timu mashabiki wake wengi ni jobless/ watu wasiokuwa na mahali pakulala

Simba lunyasi

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2022
Posts
385
Reaction score
840
Inashangaa sana kwakweli, haya mambo wanayofanya hayawezi kufanywa na mtu mwenye akili timamu. Ni vibaka/wahuni/watu wasio na kazi ndio wanaweza kuyafanya haya.

Saa 9 usiku unaacha mke/mume wako kitandani unaenda kuipokea timu ya mpira?

Yaani unaitekeleza familia yako usiku kucha kwa mambo ya kipumbavu? Unaweka rehani usalama wa watoto wako nyumban kisa mpira?

Watu wa namna hii wanenda saa ngapi kufanya shughuli za ujenzi wa taifa?

Mamlaka za nchi zichukue hatua mapema kabla hawa watu wa hii timu hawajatuaribia taifa letu..

Ubaya ubwela...........
 
Inashangaa sana kwakweli, haya mambo wanayofanya hayawezi kufanywa na mtu mwenye akili timamu. Ni vibaka/wahuni/watu wasio na kazi ndio wanaweza kuyafanya haya.

Saa 9 usiku unaacha mke/mume wako kitandani unaenda kuipokea timu ya mpira?

Yaani unaitekeleza familia yako usiku kucha kwa mambo ya kipumbavu? Unaweka rehani usalama wa watoto wako nyumban kisa mpira?

Watu wa namna hii wanenda saa ngapi kufanya shughuli za ujenzi wa taifa?

Mamlaka za nchi zichukue hatua mapema kabla hawa watu wa hii timu hawajatuaribia taifa letu..

Ubaya ubwela...........
Wakati wewe saa 9 usiku umelala na mumeo usifikiri Nchi inakua ime simama au imelala.
Wengine wanaendelea na shughulizao kama kawaida, Usifikiri hii Nchi watu wote wanalaa usiku.
Kuna kundi kubwa la Wana Yanga tangu 1920 waligwanyika wakupambana usiku wengine mchana mpaka Nchi hii ikapata uhuru 1961 bila kushikiana mi tutu ya bunduki.
Wewe ukiwa umelala na mumeo usione walio macho ni Maboya.
 
Inashangaa sana kwakweli, haya mambo wanayofanya hayawezi kufanywa na mtu mwenye akili timamu. Ni vibaka/wahuni/watu wasio na kazi ndio wanaweza kuyafanya haya.

Saa 9 usiku unaacha mke/mume wako kitandani unaenda kuipokea timu ya mpira?

Yaani unaitekeleza familia yako usiku kucha kwa mambo ya kipumbavu? Unaweka rehani usalama wa watoto wako nyumban kisa mpira?

Watu wa namna hii wanenda saa ngapi kufanya shughuli za ujenzi wa taifa?

Mamlaka za nchi zichukue hatua mapema kabla hawa watu wa hii timu hawajatuaribia taifa letu..

Ubaya ubwela...........
[/QUOTE👊👊👊 hii sawa kabsaa
 
nauli anayotumia unahakika gani kuwa haijengi taifa au kulipa kodi?
 
Inashangaa sana kwakweli, haya mambo wanayofanya hayawezi kufanywa na mtu mwenye akili timamu. Ni vibaka/wahuni/watu wasio na kazi ndio wanaweza kuyafanya haya.

Saa 9 usiku unaacha mke/mume wako kitandani unaenda kuipokea timu ya mpira?

Yaani unaitekeleza familia yako usiku kucha kwa mambo ya kipumbavu? Unaweka rehani usalama wa watoto wako nyumban kisa mpira?

Watu wa namna hii wanenda saa ngapi kufanya shughuli za ujenzi wa taifa?

Mamlaka za nchi zichukue hatua mapema kabla hawa watu wa hii timu hawajatuaribia taifa letu..

Ubaya ubwela...........
kwani wewe na huyo mumeo mlilala jana?
kama mlilala basi wewe na mmeo wote ni KE/
 
Inashangaa sana kwakweli, haya mambo wanayofanya hayawezi kufanywa na mtu mwenye akili timamu. Ni vibaka/wahuni/watu wasio na kazi ndio wanaweza kuyafanya haya.

Saa 9 usiku unaacha mke/mume wako kitandani unaenda kuipokea timu ya mpira?

Yaani unaitekeleza familia yako usiku kucha kwa mambo ya kipumbavu? Unaweka rehani usalama wa watoto wako nyumban kisa mpira?

Watu wa namna hii wanenda saa ngapi kufanya shughuli za ujenzi wa taifa?

Mamlaka za nchi zichukue hatua mapema kabla hawa watu wa hii timu hawajatuaribia taifa letu..

Ubaya ubwela...........
We we ni hoho
 
Waafrika tupo nyuma sana kifkra,leo ni siku ya kazi unaendaje kusubiria timu uwanjani ,halafu tunataka Tanzania iwe Kama Denmark
 
Back
Top Bottom