Mr mutuu JF-Expert Member Joined Jan 27, 2023 Posts 2,869 Reaction score 14,501 Mar 1, 2024 #2 , Hio picha ya pili ni mchezaji wa epl nadhani Everton kama sikosei, hata huo mpira una logo ya epl.... Wachezaji wengi ulaya wameanza kuvaa hizi socks zenye mashimo wanadai zinaongeza mzunguko mzuri wa damu kwenye miguu Yao.... Haya huyo hapo bukayo Saka wa arsenal Elimu elimu elimu
, Hio picha ya pili ni mchezaji wa epl nadhani Everton kama sikosei, hata huo mpira una logo ya epl.... Wachezaji wengi ulaya wameanza kuvaa hizi socks zenye mashimo wanadai zinaongeza mzunguko mzuri wa damu kwenye miguu Yao.... Haya huyo hapo bukayo Saka wa arsenal Elimu elimu elimu
Interlacustrine R JF-Expert Member Joined Jan 22, 2022 Posts 7,186 Reaction score 14,274 Mar 1, 2024 #3 Usishangae Makolokolo wakakwambia ndiyo fasheni ya kisasa, Mbumbumbu ni Mbumbumbu tu daima. Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Usishangae Makolokolo wakakwambia ndiyo fasheni ya kisasa, Mbumbumbu ni Mbumbumbu tu daima. Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
gammaparticles JF-Expert Member Joined Jan 9, 2024 Posts 1,407 Reaction score 3,855 Mar 2, 2024 #4 Masikini huwa unawaza kuwazodoa masikini wenzake, Wakati mwingine anapitiliza na kufananisha anayoona kwa masikini wenzake yametokea kwa tajiri
Masikini huwa unawaza kuwazodoa masikini wenzake, Wakati mwingine anapitiliza na kufananisha anayoona kwa masikini wenzake yametokea kwa tajiri
OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 53,868 Reaction score 121,001 Mar 2, 2024 #5 Chuki na ignorance na ignorance zimeshirikiana kukupoteza
T Tui JF-Expert Member Joined Jun 2, 2018 Posts 4,698 Reaction score 6,670 Mar 2, 2024 #6 Gongowazi lingine limekurupuka kutoka kwenye kuvimbiwa na mihogo.Hajui kwamba hiyo ni kawaida sana kwa timu kubwa za mpira duniani.Kawekewa picha ya Saka kapotea mazima.Yakivimbiwa mihogo huwa yanakuwa addicted na Simba na kukurupuka.
Gongowazi lingine limekurupuka kutoka kwenye kuvimbiwa na mihogo.Hajui kwamba hiyo ni kawaida sana kwa timu kubwa za mpira duniani.Kawekewa picha ya Saka kapotea mazima.Yakivimbiwa mihogo huwa yanakuwa addicted na Simba na kukurupuka.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Mar 2, 2024 #7 Mambo yao waachie wenyewe... Cc: Mahondaw