Hii umeigundua kwako?

Habari za maisha JF!
Nimegundua ukitoa pesa unaweza kupata zingine kwa wepesi zaidi & vice versa.
Wewe umeligundua hili?
Haihitaji imani zaidi....ni utafiti tu!
Nawasilisha!

Aisee wewe ni kichwa ile mbaya utakuwa professor au dr. Sasa nimeamini ndio maana mafisadi mambo yao safi kwa vile wanatoa makanisani na misikitini.Na kwa yeyote ambaye ni kibaraka wao
 
Aisee wewe ni kichwa ile mbaya utakuwa professor au dr. Sasa nimeamini ndio maana mafisadi mambo yao safi kwa vile wanatoa makanisani na misikitini.Na kwa yeyote ambaye ni kibaraka wao

Prof. wa nini?
Dr. wa nini?
 
Ahsante bibie!
Wewe wazitumia?
zikimalizika inachukua muda gani kuzipata zingine?

nikitumia haraka napata haraka.
Waambie wadau watafute kitabu kinaitwa secret.
Waelewe vizuri secret to money ilivyo.
 
nikitumia haraka napata haraka.
Waambie wadau watafute kitabu kinaitwa secret.
Waelewe vizuri secret to money ilivyo.
Im interested in reading that book. Unaweza kutuambia mtunzi wa kitabu ni nani?
 
nikitumia haraka napata haraka.
Waambie wadau watafute kitabu kinaitwa secret.
Waelewe vizuri secret to money ilivyo.

Kinapatikana wapi?
Maana maduka ya vitabu ni mengi.
Mdau mwingine ameuliza mtunzi ni nani?
 
Kinapatikana wapi?
Maana maduka ya vitabu ni mengi.
Mdau mwingine ameuliza mtunzi ni nani?

nenda novel idea pale shopperz plaza au popote penye maduka ya novel idea.
Nimemsahau mtunzi ila ukifungua contents
utakuta kuna secret to money, secret to health, secret to world.,. Etc. Ni kadogo dogo hivi.
 
Ni vizuri kutoa na kusaidia. Hiyo huongeza baraka kwenye mipango pia.
 
nikitumia haraka napata haraka.
Waambie wadau watafute kitabu kinaitwa secret.
Waelewe vizuri secret to money ilivyo.
nafikiri Inategemea unatumiaje.........au hata matumizi haramu inakuwa the same?
 
Nikitoa kwa moyo mweupe, nikkampa mwenye uhitaji wa kweli na shida ya maana NAPATA FAIDA
Nikitoa kwa kujionesha, au kugawa pesa ovyo kwa watu "wasio na shida za maana" NAPATA HASARA

Hiyo ni eksipiriensi yangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…